DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Aisee pole sana... jamani inasikitisha sana.
 
Takataka 🚮
 
Hapo tu kwenye alipiga simu kwangu ndiyo ninaposema kuwa siyo kweli. Mm nawasiliana na watu wote kwa SMS. Akipiga nasema tafadhali tuma ujumbe. Kumbukumbu za kwenye ukurasa wa mawasiliano yangu mm na yy hazioneshi kuwa kulikuwa na mazungumzo aina hiyo kati yake na mm. Naomba kuweka kumbukumbu sahihi.

Aidha, nimeongea naye na kumuuliza je niliongea na ww? Amekanusha yy mwenyewe kuwa hajaongea na mm. Badala yake, amethibitisha kufahamu kuwa, watuhumiwa 5 wako ndani.

Sijajua lengo la hii taarifa kuwa niliongea naye lilikuwa nn hasa.

Hata hivyo, Jeshi la Polisi limetoa taarifa pia najaribu kupandisha hapa sn 3.

WITO wangu; wanahabari wa kijamii tushirikiane ila tuepuke kutoa taarifa za upande mmoja. Vita ni yetu wote, ushirikiano wa dhati ni muhimu.

Ahsanteni sana.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tu kwenye alipiga simu kwangu ndiyo ninaposema kuwa siyo kweli. Mm nawasiliana na watu wote kwa SMS. Akipiga nasema tafadhali tuma ujumbe. Kumbukumbu za kwenye ukurasa wa mawasiliano yangu mm na yy hazioneshi kuwa kulikuwa na mazungumzo aina hiyo kati yake na mm. Naomba kuweka kumbukumbu sahihi.

Aidha, nimeongea naye na kumuuliza je niliongea na ww? Amekanusha yy mwenyewe kuwa hajaongea na mm. Badala yake, amethibitisha kufahamu kuwa, watuhumiwa 5 wako ndani.

Sijajua lengo la hii taarifa kuwa niliongea naye lilikuwa nn hasa.

Hata hivyo, Jeshi la Polisi limetoa taarifa pia najaribu kupandisha hapa sn 3.

WITO wangu; wanahabari wa kijamii tushirikiane ila tuepuke kutoa taarifa za upande mmoja. Vita ni yetu wote, ushirikiano wa dhati ni muhimu.

Ahsanteni sana.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tu kwenye alipiga simu kwangu ndiyo ninaposema kuwa siyo kweli. Mm nawasiliana na watu wote kwa SMS. Akipiga nasema tafadhali tuma ujumbe. Kumbukumbu za kwenye ukurasa wa mawasiliano yangu mm na yy hazioneshi kuwa kulikuwa na mazungumzo aina hiyo kati yake na mm. Naomba kuweka kumbukumbu sahihi.

Aidha, nimeongea naye na kumuuliza je niliongea na ww? Amekanusha yy mwenyewe kuwa hajaongea na mm. Badala yake, amethibitisha kufahamu kuwa, watuhumiwa 5 wako ndani.

Sijajua lengo la hii taarifa kuwa niliongea naye lilikuwa nn hasa.

Hata hivyo, Jeshi la Polisi limetoa taarifa pia najaribu kupandisha hapa sn 3.

WITO wangu; wanahabari wa kijamii tushirikiane ila tuepuke kutoa taarifa za upande mmoja. Vita ni yetu wote, ushirikiano wa dhati ni muhimu.

Ahsanteni sana.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Changamoto ni yy mwenyewe mama huyu nimemuomba hiyo namba ya simu ya mtu ambaye waliongea naye Ili nimhoji, naisubiri tangu asubuhi.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Mama yangu Mhe Dkt Mwijuma
Ninapenda kukushauri uliangalie hili jambo kwa jicho pevu.

Kilio cha mama kimetugusa wengi. Inaamsha hisia
Tayari nimetoa ufafanuzi kuhusu taarifa ya yy kuongea na mm kuwa siyo sahihi. Unaweza kusoma tafadhali. Ahsante Sana. Na nimeabatisha na taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu hatua iliko hiyo kesi

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Lakini si anasema alimwambia hadi waziri na akapewa namba ya dawati lakini kakosa msaada!
Halafu hakurudi kwangu, kwamba alipiga akaniambia nikasema Rudi tena huko, siyo kweli. Unaweza kusoma maelezo yangu tafadhali na baada ya mm kushangazwa na taarifa hizi nikamtafuta. Uzuri mm nawasiliana na wote kwa sms Ili kutunza Kumbukumbu zisaidie baadae.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza tu kinibeza upendavyo, ndiyo uongozi wenyewe huo. Ila hiyo taarifa siyo sahihi. Maana mm nawasiliana na wanitafutao kwa sms Ili kutunza kumbukumbu. Kwangu hakupiga tena, na nimeongea naye hata hizo namba zilizompigia au alizopiga akaongea akajibiwa hivyo nimeomba anitumie, nasubiri tangu asubuhi. Uzuri mitambo ya simu hutunza rekodi siku ngapi tena?

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri ni kuwa, hakukuwa na mazungumzo kati yangu na yy kama ilivyoandikwa hapo juu. Sijui haya katunga nani

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hili mh...nakutetea ujue hata Mimi binafsi huwa nikipata muda nakutumiaga msg na huwa unajibu.

Kwenye ufuatiliaji wa masuala upo vizuri Nina Imani KunA step Moja huyu mama aliiruka...!

Mh Dkt. Gwajima D mwenyezi Mungu akupe nguvu busara na hekima. You deserve a Gold medals​
 
Vizuri sana Mh Waziri, endelea na kazi yako nzuri. Mungu akuongoze.
 
Na ukweli ni kuwa, hii Hadith imetungwa, hakunipigia na wala mm utaratibu wangu huwa siyo wa kuongea Bali SMS (kuandika ujumbe), tangu nitangaze simu. Kwenye mawasiliano yake na mm hakuna kitu kama hicho na yy anajua. Na kilichopo ni kuwa, watuhumiwa 5 wako ndani na Jeshi limethibitisha.

Kwa mema machache niliyofanya, yatakumbukwa baadae, nature ni nzuri, inatabia ya kukumbuka. Tuendelee kushirikiana [emoji1666]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Mheshimiwa Dkt. Gwajima D hizi ni shutuma nzito unapaswa uzifanyie kazi wewe mwenyewe bila kumtumia huyo afisa dawati kwani mlalamikaji hana imani naye vinginevyo atakupaka matope na wewe una sifa kubwa ya kuwa mtetezi wa wanyonge.
Hapa ni shutuma za kutengenezwa kwa makusudi. Kwanza, sijawahi ongea naye, mawasiliano yangu ni sms , kwenye ukurasa wake hakuna maneno aina hiyo, naye anajua kuwa, watuhumiwa 5 wako ndani. Na baada ya kumpigia kuongea naye imekuwaje, naye anashangaa, nimeomba simu aliyopiga au kupigiwa anipe, tangu asubuhi hajanipa. Humu duniani, tuvumiliane tu...

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…