Mwanangu anaangalia kiganja cha mkono na kucheka

Mpeleke akaombewe..isije ikawa mizimu inamfuatilia mtoto wako! Hii huwa inatokea kama katika ukoo wako au wa mkeo kuliwahi kuwepo ndugu ambaye alikuwa kichaa au mganga wa kienyeji na alishatangulia mbele ya haki!

Huu ushauri ni sumu usichukue
 
mchunguze vizuri hicho kiganja usikute ana funza anayemtekenya hapo kiganjani
 
atakua mganga mkuu una zali utakula sana nyama za kuku mbuzi na kadharika wataleta mbuzi utakata kichwa utampa mwil utabaki nao ww
 
Nimekukubali ghafla.
Hekima.
 
Hiyo ni dalili njema mkuu huna haja ya kuwa na hofu ndugu yangu. Mlee vizuri huyo mtoto ndo akina Dangote wa baadae hao.
Kitoto kinafurahia uumbaji wa Mungu, mzazi anaingiwa na hofu!!! teh teh teh kulea kazi sana!!!
 
Toto litakuja kuwa piga ramli la kutupwa
 
Tunaomba feedback ya hii mada kutoka kwa mleta mada kwani ni miaka miwili na zaidi toka ulipoileta.
 
hata mimi nlikuwa hvyo nlipkuwa ningli mtoto nadalil kadhaa zaautsm bt nmshkuru sir god kumbe ni zaid ya karama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…