Una watu wazima waliokaribu nawe haswa wakina mama
Tafadhari tafuta hao alaka ili usipate michango ya kumpa mtoto maziwa ya kopo au kemikali nyengine
Mpende mwanao kama ulivyo pendwa wewe
Una watu wazima waliokaribu nawe haswa wakina mama
Tafadhari tafuta hao alaka ili usipate michango ya kumpa mtoto maziwa ya kopo au kemikali nyengine
Mpende mwanao kama ulivyo pendwa wewe
Mimi ningekushauri ukazane hivyo hivyo kumnyonyesha bila kumpa kitu kingine.
Ongeza intake yako ya fluids and proteins ili maziwa yaongezeke.
Doctors hawashauri mtoto apewe chochote zaidi ya maziwa ya mama mpaka atakapo timiza miezi sita.
God Bless.
maziwa yako hayana virutubisho vyote .....mpe uji laini wamhogo
maziwa yako hayana virutubisho vyote .....mpe uji laini wamhogo
Hellow.....
Nina Kabinti Cha One Week,Nilijifungua week iliyopita....Sasa Since Day One Amekuwa Ananyonya Balaa....Maziwa Yalipochanganya Akawa Ananyonya Mpaka Yanakauka Kisha Anaanza Kulia Sababu Hashibi....Nakunywa Uji Wa Pilipili Manga Like 24/7 Na Yanajaa Kweli But Hashibi....Sasa Naombeni Ushauri Kama Kuna Kitu Cha Ziada Nifanye Maziwa Yamtoshe ......Anything That Can Be Helpful!
Thanks In Advance,
NTAKASI.
maziwa yako hayana virutubisho vyote .....mpe uji laini wamhogo