Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
Hellow.....
Nina kabinti cha one week,nilijifungua week iliyopita....sasa since day one amekuwa ananyonya balaa....maziwa yalipochanganya akawa ananyonya mpaka yanakauka kisha anaanza kulia sababu hashibi....nakunywa uji wa pilipili manga like 24/7 na yanajaa kweli but hashibi....sasa naombeni ushauri kama kuna kitu cha ziada nifanye maziwa yamtoshe ......anything that can be helpful!
Thanks in advance,
Ntakasi.
Nina kabinti cha one week,nilijifungua week iliyopita....sasa since day one amekuwa ananyonya balaa....maziwa yalipochanganya akawa ananyonya mpaka yanakauka kisha anaanza kulia sababu hashibi....nakunywa uji wa pilipili manga like 24/7 na yanajaa kweli but hashibi....sasa naombeni ushauri kama kuna kitu cha ziada nifanye maziwa yamtoshe ......anything that can be helpful!
Thanks in advance,
Ntakasi.