Mwanangu ananyonya sana!


Ahsante Da Lizzy......Yanajaa wakati mwingine ila ananyonya sana hadi yanaisha kisha anaangua kilio....But..nitafuata ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:

Ahsante kwa ku'share experience na ushauri mzuri...I needed to hear that...
 

Ahsante sana kwa darasa....Ubarikiwe!!.
 
Kula kwa wingi nyanya chungu, na supu ya ngisi zinasaidia kuongeza maziwa ya Mama! Hakikisha mtoto hapewi chakula kingine, kwa umru wake huyo ni maziwa tu! Clinic utafundishwa zaidi
 
Dah!
Wangu anakaribia kujifungua,nikiona thread za namna hii nabaki kusubiri tu nione kitakachonisibu na bibie.
MUNGU atusaidie.
Hongera sana kwa kujifungua salama.

Ahsante Sana Na Mungu Awajalie,Ajifungue Salama.
 

Ahsante sana kwa ushauri mzuri.
 
Kula kwa wingi nyanya chungu, na supu ya ngisi zinasaidia kuongeza maziwa ya Mama! Hakikisha mtoto hapewi chakula kingine, kwa umru wake huyo ni maziwa tu! Clinic utafundishwa zaidi

Ahsante Kwa Ushauri....
 
Mama jitahidi kula tu mie pia nanyonyesha binti yangu 1 month old sana nakula uji wa oats naweka na uwatu,supu ya pweza,ya kuku,kunywa maji mengi glasi 8-10 pumzika vizuri pia usijipe stress kuwa na wahka pia inapunguza uzalishaji wa maziwa...

Enjoy mama kunyonyesha raha sana jinsi unavyokuwa karibu zaidi na mtoto wako na yeye huongeza mapenzi zaidi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

How wonderful!!.....Ahsante Sana Kwa Kunitia Moyo Na Ushauri Mzuri.
BTW,Nina Binti Pia!
 
How wonderful!!.....Ahsante Sana Kwa Kunitia Moyo Na Ushauri Mzuri.
BTW,Nina Binti Pia!

Owh wow...usijali karibu sana

Hongera sana na pole kwa safar ndefu kwa kweli ni mbali sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Hii apa muhimu me pia nlikua nakosea kumnyonyesha bahati nzuri walinipeleka darasa maalum kuhusu kunyonyesha na kila kitu ila nlikua nimechoka full kusinzia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ama inawezekana maziwa yako ni madogo. Kunywa maji mengi sana. Usimnyime maziwa.

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 

I understand Da' K.....I think i need to learn a great deal of nursing and stuffs....nursing is not as simple as i once thought......Gotta work some nerves...lolz....Thanks Much!
 

This is very helpful!
 

HeeeHeee....WishIng You The Best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…