Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,393
- 632
........Huyo mtoto ana njaa sana. Mpe uji mlaini, atakuwa sawa tu.
hapana ushauri wako si sahihi...weaning ianze baada ya miezi sita....kwa sasa kazana kumnyonyesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........Huyo mtoto ana njaa sana. Mpe uji mlaini, atakuwa sawa tu.
Its not clear umemuambia nini.
Assuming umemshauri anyonyeshewe mtoto, wewe utampa mtoto mtu akunyonyeshee just like that?
Achilia mbali maradhi ya siku hizi, personal hygiene?
Sometimes tukitoa ushauri tuwe tunajiuliza what if ni sisi, tungefuata ushauri huo?
Say it AGAIN.???????????
Nahisi hujamuelewa, yeye amekusudia wamama wa kumpa ushauri nini afanye na.sio kumnyonyeshea mtoto wake.
Ahsante K But This Baby Ana Demand Aiseee....What Can I dDrink Precisely Kuincrease Hiyo Intake:..Any Sort Of Tea?
Mpe maziwa ya unga yale ya katika kopo kwa ajili ya watoto au maziwa ya ng'ombe
Fanya hivyo kama mfuko unaruhusu,kama unawasiwasi na kununua maziwa feki hapa bongo basi agiza hata nje ya nchi
Ndani ya wiki unaweza pata mzigo wako wa maziwa

........Huyo mtoto ana njaa sana. Mpe uji mlaini, atakuwa sawa tu.
Nipo na my mom nyumbani na wote tunajaribu kutafuta kitachowork huku tukiulizauliza kama hivi sababu tunakesha wote akicharuka usiku.....
Its not clear umemuambia nini.
Assuming umemshauri anyonyeshewe mtoto, wewe utampa mtoto mtu akunyonyeshee just like that?
Achilia mbali maradhi ya siku hizi, personal hygiene?
Ulitaka kuongea nini?
Uwe una soma kabla ya kukulupuka
Pakaa pilipili
Nimekuelewa nasikitika siko nyumbani vinginevyo ningejaribu kukusaidia.Kumbuka usijione mnyonge nina uwakika hio hali itapotea na kila kitu kitakuwa sawa na mtoto mungu atamjalia atakuwa vizuri
Kula sana matunda na vyakula vyepesi Mf Mtoli viazi vitamu na bila kusahau maziwa ya mbuzi au kondoo...