Mwanangu anatamani sana kuwa Pilot

Mwanangu anatamani sana kuwa Pilot

Laboma

Senior Member
Joined
Jun 6, 2011
Posts
197
Reaction score
171
Amani iwe nanyi want JF..
Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili kijana huyu afikie ndoto yake?
Tafadhalini naomba ushauri.. Natanguliza shukurani zangu zamdhati.
 
Mshike mkono aweze kufikia na kutimiza ndoto zake
 
Fanya hivi, anza. Kuweka akiba nono kabisa. Kama unataka asome sehemu nzuri na awe rubani wa ndege za biashara andaa angalau 200M.
 
Ana umri gani? Subiri subbiri tu aendelee na vidato atakuja kukwambia anataka kuwa language translator, kama unamuona yupo vizuri upstairs mshape mapema atimize ndoto yake.
 
200M halafu atakuja kulipwa mshahara wa kiasi gani?
Fanya hivi, anza. Kuweka akiba nono kabisa. Kama unataka asome sehemu nzuri na awe rubani wa ndege za biashara andaa angalau 200M.
 
Amani iwe nanyi want JF..
Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili kijana huyu afikie ndoto yake?
Tafadhalini naomba ushauri.. Natanguliza shukurani zangu zamdhati.

hii kama hupo hupp vizuri muandalie software flight stimulater mapema na vifaa vyake ila ujipange kweli kweli.akimaliza form four mpeleke chuo hapo airport kwa kuanza au znz ili akipata cheti cha ngazi ndogo kisha,utajua sasa hakasome ndege kubwa au masafa marefu.ila ndugu mtaji wa kusomesha hakikisha account ina milioni 500 si kushuka au msaada wa serekali,au kampuni binafsi
 
Mosswood wanafundisha PPL ni 17000USD kama 36000000 hivi
Ukitoka hapo unasomea CPL ili uweze endesha hizi Taxi za Mbugani
Baada ya hapo ndo sasa akajitose nje kusomea zaidi kama ni ATR au Bombadier
Wengi husomea ndege kutokana na zilizopo kwenye mashirika yaliyo nchini kwao
 
Akishapata uzoefu na akawa na kazi kwenye shirika zuri. Mshahara hauwezi kua china ya 20M kwa mwezi. Na hio ni nje ya marupurupu kibao wanayopewa kisheria.
200M halafu atakuja kulipwa mshahara wa kiasi gani?
 
Mosswood wanafundisha PPL ni 17000USD kama 36000000 hivi
Ukitoka hapo unasomea CPL ili uweze endesha hizi Taxi za Mbugani
Baada ya hapo ndo sasa akajitose nje kusomea zaidi kama ni ATR au Bombadier
Wengi husomea ndege kutokana na zilizopo kwenye mashirika yaliyo nchini kwao

Asante kwa taarifa hii mkuu. Je, kuna uwezekano wa sponsorship au loan kwa makubaliano mahsus?
 
Ili kua ndoto yang toka utoton Ila sasa nmegundua cwez kuifikia moja kwa moja kwan familia yangu n kipato cha kat haiwez mudu hilo sasa nataka nikasome engineering then nikija jitegemea na uchumi ukawa sawa ntaingia uko
I'm post waiter
 
Mwambie huwezo hauna haya mambo ya ndoto yamepitwa na wakati familia haina huwezo unataka mambo makubwa asome fani au taaluma inayoendana na hali ya familia sisi maprofesa tumekusha kubaliana hiki kipindi ni kigumu
 
mtu yoyote anaweza kuwa pilot issue ni pesa tu ya kusoma na kuwa na hours za kutosha
 
Ili aweze kuwa pilot basi uza plot
Amani iwe nanyi want JF..
Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili kijana huyu afikie ndoto yake?
Tafadhalini naomba ushauri.. Natanguliza shukurani zangu zamdhati.
 
Back
Top Bottom