Amani iwe nanyi want JF..
Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili kijana huyu afikie ndoto yake?
Tafadhalini naomba ushauri.. Natanguliza shukurani zangu zamdhati.
Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili kijana huyu afikie ndoto yake?
Tafadhalini naomba ushauri.. Natanguliza shukurani zangu zamdhati.