Mwanangu halali usiku

Mwanangu halali usiku

Idimulwa

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2011
Posts
4,944
Reaction score
2,459
Jamani anashinda amelala ila ikifika saa 12 jioni halali yaani ni usiku wote ,lakini ikifika saa 12 asubuhi anasinzia vizuri tena,yaani akizinduka nikunyonya na kusinzia ila usiku kuanzia saa 3 mpaka kesho yake saa 12 asubuhi yupo alert na hataki kitanda ni mkononi tu na ana wiki 2,nikienda clinic wanasema hanatatizo la kiafya,msaada wadau hatulali usiku nami naanza kuchelewa kazini wanashangaa.
 
Ni kawaida, taratibu atabadilika.

Wengine eti wanasema analilia jina la babu yake,au la bibi yake kama ni wa kike au hata grandparent wako wako ama wa mwenzi wako. Kama una iman hyo nenda channel 5 wakupe jina analotaka.
 
Wengine eti wanasema analilia jina la babu yake,au la bibi yake kama ni wa kike au hata grandparent wako wako ama wa mwenzi wako. Kama una iman hyo nenda channel 5 wakupe jina analotaka.


Channel 5?kuwa serious mkuu
 
Vipi nikimwamzishia dawa za isingizi,nimeshauriwa sijui lagati?
 
Halafu anasikia kila aina ya kelele anashituka,why?
 
Jamani anashinda amelala ila ikifika saa 12 jioni halali yaani ni usiku wote ,lakini ikifika saa 12 asubuhi anasinzia vizuri tena,yaani akizinduka nikunyonya na kusinzia ila usiku kuanzia saa 3 mpaka kesho yake saa 12 asubuhi yupo alert na hataki kitanda ni mkononi tu na ana wiki 2,nikienda clinic wanasema hanatatizo la kiafya,msaada wadau hatulali usiku nami naanza kuchelewa kazini wanashangaa.
Pole sana Mshike mwanao mikononi kisha kama wewe ni mkristo chukuwa Biblia funguwa Msomee Zaburi 4 mara 1 mshike kichwa chake ukisha maliza kumsomea hiyo Zaburi 4 mpulizie usoni mwake mara moja atalala tumia kisha uje hapa unipe maendeleo yake je amelala?
 
Pole sana Mshike mwanao mikononi kisha kama wewe ni mkristo chukuwa Biblia funguwa Msomee Zaburi 4 mara 1 mshike kichwa chake ukisha maliza kumsomea hiyo Zaburi 4 mpulizie usoni mwake mara moja atalala tumia kisha uje hapa unipe maendeleo yake je amelala?


Lagati vipi mkuu au zanzi?
 
Mpeleke nchi ambayo tunapishana masaa 12, utaona mabadiliko tu! amen
 
Back
Top Bottom