steveslove
Senior Member
- Jul 18, 2012
- 110
- 32
Nina mtoto ana miaka mitatu sasa bado hajajua kuongea vizuri nishampeleka hospitali kwa uchunguzi hakuonekana na tatizo ila matamshi yake yananipa utata sana anapotaka kusema bye anasema tai, suprise anasema tataizii anapohitaji kitu hawezi sema anaonyesha ishara au anakuchukua mpaka kwenye anachohitaji. Pia anaposikia mwimbo anaoupenda anaimba bila maneno anafatisha tu ule mwimbo lalalalla au oooooo.
Chakushangaza mengine anatamka like maneno see u yeye atakwambia chi u. Kuna waliosema simchanganyi sana na watoto wenzake but kiukweli huwa anacheza na wenzie na yupo na kaka yake ambaye ni muongeaji sana, wanacheza na wanaelewana ila mwenzio haongei maneno yanayoeleweka.
Je, atakuja kuongea mana miaka mitatu sasa, au daktari gani mwingine bingwa wa watoto mniambie nimtafute najiskia vibaya mwanangu kuwa hivi please nisaidieni:A S cry:
Chakushangaza mengine anatamka like maneno see u yeye atakwambia chi u. Kuna waliosema simchanganyi sana na watoto wenzake but kiukweli huwa anacheza na wenzie na yupo na kaka yake ambaye ni muongeaji sana, wanacheza na wanaelewana ila mwenzio haongei maneno yanayoeleweka.
Je, atakuja kuongea mana miaka mitatu sasa, au daktari gani mwingine bingwa wa watoto mniambie nimtafute najiskia vibaya mwanangu kuwa hivi please nisaidieni:A S cry: