The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
Ni kujifunza tu,maini robo unayapika,unaanika mpaka yakauke funi na kitambaa unapoanika yakikauka yasage,unakuwa unaweka kijiko kidogo cha chakula kwenye chakula chake au unamlambisha ule unga kwa wiki moja inataka moyo ina radha mbaya.
Mlambishe asali kidogo baada ya dakika tano mlishe.
Mlambishe asali kidogo baada ya dakika tano mlishe.
asali sio nzuri kwa watoto chini ya mwaka
Usitishe wenzio, sisi watoto tunawalambisha asali toka wachanga kabisa. Asali ni dawa nzuri sana kwa watoto na watu wazima.
Hilo la asali kumlambisha mtoto kuwa si nzuri umelitoa wapi?
Usitishe wenzio, sisi watoto tunawalambisha asali toka wachanga kabisa. Asali ni dawa nzuri sana kwa watoto na watu wazima.
Hilo la asali kumlambisha mtoto kuwa si nzuri umelitoa wapi?
call me through 0759077008 nikupatie suluhisho Karucee
Ni kweli FaizaFoxy mimi mwenyewe nilikuwa nampa sana mtoto nikaja kusoma kwenye kitabu,na nilimsikia dr.akitoa maelezo nikaacha kabisa.
Wewe la asali kuwa ni nzuri kwa mtoto umelitoa wapi?
Either fanya research kidogo au endelea kumlambisha.Its up to youUsitishe wenzio, sisi watoto tunawalambisha asali toka wachanga kabisa. Asali ni dawa nzuri sana kwa watoto na watu wazima.
Hilo la asali kumlambisha mtoto kuwa si nzuri umelitoa wapi?
Either fanya research kidogo au endelea kumlambisha.Its up to you
Nnachokiongea mimi ni kumlambisha kwa ajili anashindwa kula na hiyo ni "remedy" za asili zinazotumika enzi na enzi.
Hivi huwa hamuelewi mnachokisoma au mnajifanya mapunguani tu?
Naam, wanangu wote walipokosa "appetite" niliwalambisha asali na hata mimi mwenyewe nimeikuta hiyo remedy kutoka kwa wazee wangu. Na hadi hii leo kwangu asali haikosekani, ni kitu cha muhimu sana kwangu.
Fine.Its your choice and non of my business.But watakaojali watafuatilia kujua ukweli.Nnachokiongea mimi ni kumlambisha kwa ajili anashindwa kula na hiyo ni "remedy" za asili zinazotumika enzi na enzi.
Hivi huwa hamuelewi mnachokisoma au mnajifanya mapunguani tu?
Naam, wanangu wote walipokosa "appetite" niliwalambisha asali na hata mimi mwenyewe nimeikuta hiyo remedy kutoka kwa wazee wangu. Na hadi hii leo kwangu asali haikosekani, ni kitu cha muhimu sana kwangu.
Fine.Its your choice and non of my business.But watakaojali watafuatilia kujua ukweli.
Hongera.I cant take chances or such kind of un calculated risks for my little angles even if is rarest cases.Indeed its my home remedy for ages and everyone is free to accept it or not.
Wi th regard to not giving honey to children under 1 year, they say in rare cases honey can cause infantile botulism, remember rare cases and its simply a theory which was never proven.
I stick with my old age remedy.
Hongera.I cant take chances or such kind of un calculated risks for my little angles even if is rarest cases.