Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Ma-Dr. Nina mtoto wa kike ana miezi mitano ila kila akikalishwa huwa hawezi kaa. Naomba mnijuze mtoto inabidi aanze kukaa akiwa na umri gani, na kama ndani ya umri huo hajaanza kukaa tatizo linakuwa ni nini?
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani
