Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo funga

Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo funga

xenon

Senior Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
130
Reaction score
81
Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo finga huwa analia sana mpaka umchemshie mizizi ya mndula atakapo kunywa tu ile hali inapotea sijajua tatizo ni mshipa ama ni nini na dawa yake ni ipi ili hiyo hali ipotee moja kwa moja ni mtoto wa miaka 2.
 
Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo finga huwa analia sana mpaka umchemshie mizizi ya mndula atakapo kunywa tu ile hali inapotea sijajua tatizo ni mshipa ama ni nini na dawa yake ni ipi ili hiyo hali ipotee moja kwa moja ni mtoto wa miaka 2.
 
Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo finga huwa analia sana mpaka umchemshie mizizi ya mndula atakapo kunywa tu ile hali inapotea sijajua tatizo ni mshipa ama ni nini na dawa yake ni ipi ili hiyo hali ipotee moja kwa moja ni mtoto wa miaka 2.
 
Mwanao wa kike au wa kiume?
Anaumri gani?
Ulishajaribu kumpeleka kwa wataalamu wa afya waka ajili ya uchunguzi wa kina?
 
Huo ni mchango,
Jitahidi tu kutafuta dawa za mchango za asili.

Swala hilo mzungu(daktari) hana dawa.
 
Hali ya hewa inapo badilika mkuu or muda mwengine humtokea tu
Tumbo linauna kama vile msuli wa tumbo unasimama hivi hawezi kusimana yeye straight mpaka ainame kidogo na sehemu za siri zinamuuma but sio lazima...kuna operation zinafanyika hospital I've seen them
 
Tumbo linauna kama vile msuli wa tumbo unasimama hivi hawezi kusimana yeye straight mpaka ainame kidogo na sehemu za siri zinamuuma but sio lazima...kuna operation zinafanyika hospital I've seen them
Hakuna dawa ya mitishamba bila kufanyiwa operation
 
Back
Top Bottom