Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.
Mpige jezi ya yanga....ukifika pale plot 1 unakuta lango likiwa wazi linakungoja....
Ushauri wangu ni kwamba inabidi kumkinga mwanao na matangazo ya biashara yaliyopita kiasi. Mwanao inabidi ajifunze kusoma na kufanya mambo ya kitoto, inaonekana pengine anamlinganisha Kikwete na "action hero figures" kama kina Super Man na Spider Man etc, anajiuliza huyu mtu ambaye yupo kwenye TV kila siku, kila ninapoangalia namuona ni mtu wa aina gani ? Lazima atakuwa si mtu wa kawaida. Inabidi aonyeshwe kwamba Kikwete ni mtu wa kawaida tu, ama sivyo tutatengeneza vikwete wengine wengi sana tu.
Anataka kumtembelea raith Kikwete sio kupewa jezi ya yanga. Pia nisingependa kumwambia haiwezekani kabla sijajaribu kutafuta njia ya kumkutanisha na huyo. Kwa mzazi atanielewa namaanisha nini kama ambavyo Kiranga kanielewa.
Ni kweli nimegundua kuwa hapa yanaandikwa mambo ya mapenzi. Nadhani nitakuwa sijakosea tena kana nitaweka kisa changu cha mapenzi.
Ni mama wa watoto kadhaa. Nina work mate wangu (baba wa watoto kadhaa) ambaye tulikuwa tukiflirt kwa muda wa miaka 2, ila saa za kazi tu, kuanzia saa mbili hadi saa kumi jioni, na wakati mwingine usiku kama tupo safarini. Hatuendi lunch pamoja wala hatuna tabia ya kuwa pamoja. Mara nyingi tunakutana kwenye vikao. Mapenzi yetu ni kwa simu tu.
Majuzi kati hapa aliomba kuvunja amri ya sita. Moyo unataka ila mwili unakataa. Nimeamua kumwambia tusitishe mawasiliano, tunajaribu lakini inashindikana kwa vile tuko ofisi moja. Tukionana tu ndo unakuwa mwanzo wa kuanza kupigiana simu za mapenzi. Je kuna mapenzi kati yetu au ni tamaa za mwili? Ntajuaje au nimpe test gani kugundua kuwa ananipenda kweli.
muheshimiwa unayemzungumzia hapa ndo kikwete? Ni kweli uko ofisi moja na kikwete tunayemjua? au umetumika kiasi kwamba unatumia trial and errors kujua baba halisi wa mtoto?
muheshimiwa unayemzungumzia hapa ndo kikwete? Ni kweli uko ofisi moja na kikwete tunayemjua? au umetumika kiasi kwamba unatumia trial and errors kujua baba halisi wa mtoto?
Sivyo unavyofikiria. Mimi na baba watoto tuna mtoto atakayeadhimisha siku yake ya kuzaliwa na anataka siku hiyo amtembelee Kikwete.
Unaweza kunisaidia ni jinsi gani au nitumie utaratibu gani ili huyu mtoto akutane na Kikwete?
Kama malezi yenyewe ndiyo haya basi hatuna haja ya kuwa na watoto... utaomba ushauri hata vitu vilivyo ndani ya uwezo wako??? au wewe na mmeo mazezeta??Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.
simple, nenda naye kwenye kampeni. atapewa na pipi kule
Kama malezi yenyewe ndiyo haya basi hatuna haja ya kuwa na watoto... utaomba ushauri hata vitu vilivyo ndani ya uwezo wako??? au wewe na mmeo mazezeta??
OOh sorry sikusoma between lines, si unajua tena Mukulu wa nchi naye ni hajatulia sana?
Ushauri wangu: Mkifanikiwa kupata ruhusa ya mwanao kumuona kikwete, fanya juu chini amuone kwa mbali la sivo mwanao anaweza kupata ugonjwa wa kuanguka anguka, na ukimuanza katika umri mdogo hivo ni hatari sana!
Kama malezi yenyewe ndiyo haya basi hatuna haja ya kuwa na watoto... utaomba ushauri hata vitu vilivyo ndani ya uwezo wako??? au wewe na mmeo mazezeta??
Malezi ya mtoto kwa kiasi kikubwa yanaletwa na confidence na decision making za wazazi, sasa kama hata mambo haya tunaulizana sijui tunatengeneza taifa gani, hata siku ya kura utakuja kusema naenda kupiga kura, nambeni ushauri
Tumekusikia. Asante na ubarikiwe sana.