Mwanangu na Kikwete

Mwanangu na Kikwete

pole hakuna zawadi nyingine zaidi ya kuonana na Kikwete mwanao huwa anangalia kampeni badala ya kuangalia program za watoto?
 
kama vp tafuta ant virus ili kumscan mwanao na kikwete virus asije mwanao akawa ama malaria sugu.njwa.pengo,tandale one,jk wa ukweli na wengineo
 
Sivyo unavyofikiria. Mimi na baba watoto tuna mtoto atakayeadhimisha siku yake ya kuzaliwa na anataka siku hiyo amtembelee Kikwete.

Unaweza kunisaidia ni jinsi gani au nitumie utaratibu gani ili huyu mtoto akutane na Kikwete?

hilo nalo neno
 
akae barabarani kikwete anapopita,kikwete atampa zawadi ya pipi.................au ataenda kubembea naye jamaica si unajua bembea ni kwa ajili ya watoto lkn babu kikwete anabembea na salma
Heshima kitu cha bure unaonyesha namna gani ul8ivyokosa malezi mema mwenyewe unafikiri sifa hovyooooooo
 
Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.

Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.

Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.
Kwa hili linaweza kuwa gumu kidogo ila kama mzazi tafuta namna ya kuzungumza nae ili mwisho wa siku usije mvunja moyo,mweleze ugumu wa hili jambo na kama kuna siku nafasi itatokea ataonana nae ila kwa sasa ajue mapema kuwa haitowezekana maana wakati mwin´gine huwa watata sana hawa watoto wetu wa siku hizi.Anaweza lilia chapati kwenye TV.
 
Akimaliza kuonana nae, mwanao atakuwa na tabia ya kuchekacheka ovyo hata kwa jambo la mahana utakalokuwa unamwambia
 
Akimaliza kuonana nae, mwanao atakuwa na tabia ya kuchekacheka ovyo hata kwa jambo la mahana utakalokuwa unamwambia
sasa kama jambo lenyewe la mahana kwa nini usicheke hahahaaaaa!!!
 
JK hana makuu, na mtu wa watu no matter what, fika kwa Makamba au nenda Ikulu ukaombe appointment nae.....but umpe 7bu.
Ukiona vp andika barua kwa mheshimiwa.:llama:
 
Malezi ya watoto wa siku hizi tabu tupu sijui wazazi akili zinachelewa kupevuka maana utakuta mzazi ana akili kama za mtoto matokeo yake ndio hayo kutaka mtoto akasherekee B'day kwa kuonana na Kikwete. Nadhani kama ingekuwa enzi za Nyerere huyo mzazi angeenda kupimwa akili Mirembe au kama ukipeleka hilo ombi kwa kiongozi kama alivyokuwa Hitler unaweza kuchinjwa kabisa kwa kumdhalilisha Rais
 
wanawake wenye majina ya lewinsky si mnawajua tabia zao jamani au? huyu nae atakuwa wale wale tuuuuuuuu.
 
Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.

Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.

Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.

Haa....Lewinski bana acha hizo! Ni kweli kumkutanisha mtoto na baba sometimes sio jambo rahisi....!
 
Okay hivi hiyo can work, nikifika pale nimwombee mtoto nafasi ya kuongea amuulize au kumwambia atakayo. Ntacheck siku hiyo Kikwete atakuwa anafanza kampeni wapi.

Thanks

Mhh!!
Hivi kweli uko serious?
Anatimiza umri gani huyu mwanao?
Sio maombi yote anayotaka mtoto ni lazima umtimizie, angesema anataka kumwona lets say Baraka Obama ungenfanya nini?, au ndo na wewe unataka uonekane ukiwa na mwanao mnakutana na huyo Kikwete mnapewa pipi?
 
Malezi ya watoto wa siku hizi tabu tupu sijui wazazi akili zinachelewa kupevuka maana utakuta mzazi ana akili kama za mtoto matokeo yake ndio hayo kutaka mtoto akasherekee B'day kwa kuonana na Kikwete. Nadhani kama ingekuwa enzi za Nyerere huyo mzazi angeenda kupimwa akili Mirembe au kama ukipeleka hilo ombi kwa kiongozi kama alivyokuwa Hitler unaweza kuchinjwa kabisa kwa kumdhalilisha Rais
Kwakweli hata mimi nafikiria familia ya mama na baba huyu? Sijui.... labda kama Kikwete anahusika na hii familia......
 
Kwakweli hata mimi nafikiria familia ya mama na baba huyu? Sijui.... labda kama Kikwete anahusika na hii familia......
kuna walakini kwenye hii familia im telling u na huyo mtoto sidhani kama amepata right parents
 
1.mwulize akishamwona anataka kumwambia nini.
2.ukishajua sababu utaamua umjibuje.
 
kuna walakini kwenye hii familia im telling u na huyo mtoto sidhani kama amepata right parents
huwezi jua,mungu anaweza kuamua kupitisha ujumbe muhimu kwa mtoto. Ndio maana nashauri kwanza mtoto aulizwe nia ya kumuona kikwete ni ipi?
 
kwa hili linaweza kuwa gumu kidogo ila kama mzazi tafuta namna ya kuzungumza nae ili mwisho wa siku usije mvunja moyo,mweleze ugumu wa hili jambo na kama kuna siku nafasi itatokea ataonana nae ila kwa sasa ajue mapema kuwa haitowezekana maana wakati mwin´gine huwa watata sana hawa watoto wetu wa siku hizi.anaweza lilia chapati kwenye tv.
mtoto mtata dawa yake bakora.........akitandikwa hasa hasa atashika adabu.
 
du nakuonea huruma sana infact hayo si malezi bora kwa mtoto.... mhhhhhh JK... mtoto wa kike au wa kiume? BALAAAAAAAA.....:tonguez:
 
Mpeleke kwenye vi2 vya msingi vitakavyo-mpa furaha na kumu-expose kama vile lunar park, watoto show, au beach.....sio lazima amuone huyo mwana siasa...akiwa mkubwa anaweza kukulaumu kwa-kumkutanisha na aliekuwa rais wa tz ambaye pengine historia kwa wakati huo haitamkumbuka vizuri kutokana na urahisi wake..... ni mtizamo tuu
 
Back
Top Bottom