Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 497
- 107
pole hakuna zawadi nyingine zaidi ya kuonana na Kikwete mwanao huwa anangalia kampeni badala ya kuangalia program za watoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sivyo unavyofikiria. Mimi na baba watoto tuna mtoto atakayeadhimisha siku yake ya kuzaliwa na anataka siku hiyo amtembelee Kikwete.
Unaweza kunisaidia ni jinsi gani au nitumie utaratibu gani ili huyu mtoto akutane na Kikwete?
Heshima kitu cha bure unaonyesha namna gani ul8ivyokosa malezi mema mwenyewe unafikiri sifa hovyoooooooakae barabarani kikwete anapopita,kikwete atampa zawadi ya pipi.................au ataenda kubembea naye jamaica si unajua bembea ni kwa ajili ya watoto lkn babu kikwete anabembea na salma
Kwa hili linaweza kuwa gumu kidogo ila kama mzazi tafuta namna ya kuzungumza nae ili mwisho wa siku usije mvunja moyo,mweleze ugumu wa hili jambo na kama kuna siku nafasi itatokea ataonana nae ila kwa sasa ajue mapema kuwa haitowezekana maana wakati mwin´gine huwa watata sana hawa watoto wetu wa siku hizi.Anaweza lilia chapati kwenye TV.Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.
sasa kama jambo lenyewe la mahana kwa nini usicheke hahahaaaaa!!!Akimaliza kuonana nae, mwanao atakuwa na tabia ya kuchekacheka ovyo hata kwa jambo la mahana utakalokuwa unamwambia
Majuma matatu kutoka sasa mtoto wangu anayesoma elimu ya chechechea ataadhimisha siku ya kuzaliwa kwake. Kasema mwaka huu hataki zawadi wala keki, anataka aende kumtembelea Raith Kikwete.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kumkutanisha mwanangu huyu na Mheshimiwa Kikwete.
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliye tayari kunisaidia.
Okay hivi hiyo can work, nikifika pale nimwombee mtoto nafasi ya kuongea amuulize au kumwambia atakayo. Ntacheck siku hiyo Kikwete atakuwa anafanza kampeni wapi.
Thanks
Kwakweli hata mimi nafikiria familia ya mama na baba huyu? Sijui.... labda kama Kikwete anahusika na hii familia......Malezi ya watoto wa siku hizi tabu tupu sijui wazazi akili zinachelewa kupevuka maana utakuta mzazi ana akili kama za mtoto matokeo yake ndio hayo kutaka mtoto akasherekee B'day kwa kuonana na Kikwete. Nadhani kama ingekuwa enzi za Nyerere huyo mzazi angeenda kupimwa akili Mirembe au kama ukipeleka hilo ombi kwa kiongozi kama alivyokuwa Hitler unaweza kuchinjwa kabisa kwa kumdhalilisha Rais
kuna walakini kwenye hii familia im telling u na huyo mtoto sidhani kama amepata right parentsKwakweli hata mimi nafikiria familia ya mama na baba huyu? Sijui.... labda kama Kikwete anahusika na hii familia......
huwezi jua,mungu anaweza kuamua kupitisha ujumbe muhimu kwa mtoto. Ndio maana nashauri kwanza mtoto aulizwe nia ya kumuona kikwete ni ipi?kuna walakini kwenye hii familia im telling u na huyo mtoto sidhani kama amepata right parents
mtoto mtata dawa yake bakora.........akitandikwa hasa hasa atashika adabu.kwa hili linaweza kuwa gumu kidogo ila kama mzazi tafuta namna ya kuzungumza nae ili mwisho wa siku usije mvunja moyo,mweleze ugumu wa hili jambo na kama kuna siku nafasi itatokea ataonana nae ila kwa sasa ajue mapema kuwa haitowezekana maana wakati mwin´gine huwa watata sana hawa watoto wetu wa siku hizi.anaweza lilia chapati kwenye tv.