Mwanangu na Kikwete

Naona unataka kutubadili akili hapa badala ya kufuatilia mambo ya maana na msingi na kuhakikisha tunapata kiongozi bora wewe unatuvulugia stimu

Halfu stimu zenyewe zimelipiwa
 
I tell you iko siku mtu atakuwa anaenda kufanya tendo la ndoa na mkewe atakuja hapa atuulize pia " Jamani leo naenda kufanya tendo la ndoa na mke wangu mnanishauri vipi"? There are somethings which you have to learn to deal with them by yourself.

Hahahaha na anaweza toka fanya tendo la ndoa akaja kuuliza mbona leo radha ilikuwa tofauti na siku zote naombeni ushauri!
 

Haya ni mawazo yako na hayawakilisi dunia nzima. Hauko sawa unaposema nina uelewa wa mashaka, na si lazima kila mtu aelewe kama unavyoelewa wewe, tunatofautiana.

Asante kwa kunipa mhadhara.
 
On second thoughts inawezekana dogo anaanza kujitayarisha mapema, anaanza ku network kabisa kama hapa chini Clinton alivyokuwa ana network na Kennedy.



Kiranga, asante sana kwa kutuelewa. Asante.
 
I tell you iko siku mtu atakuwa anaenda kufanya tendo la ndoa na mkewe atakuja hapa atuulize pia " Jamani leo naenda kufanya tendo la ndoa na mke wangu mnanishauri vipi"? There are somethings which you have to learn to deal with them by yourself.
naona JF imeingiliwa na watu gani sijui halafu hawashauriki hivi sekondari zimefungwa au?
 

Hakuna niliposema nimempromise mtoto kumwona JK, na hakuna mahali nimesema lazima amuone JK. You got me wrong.
 
Haya ni mawazo yako na hayawakilisi dunia nzima. Hauko sawa unaposema nina uelewa wa mashaka, na si lazima kila mtu aelewe kama unavyoelewa wewe, tunatofautiana.

Asante kwa kunipa mhadhara.
wewe mwenyewe hujijui ila sisi ndio tunaona kuwa una walakini si bure
 
Je wewe mwenyewe unadhani kumkutanisha na rais, mwanao atapata faida gani?
 
 


................?????????? :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2: Mwishowe ataishia kuanguka.....!
 

Mimi ni mzazi kama wewe, nakubaliana kuwa mara nyingi watoto wako "too ambitious or inquisitive". La muhimu ni wewe mzazi kuamua lipi linamfaa mtoto na lipi halimfai sio kila kitu mtoto anachotaka na wewe kikutie pressure. Unapaswa kuwa mwepesi wa kutafuta alternative na uweze kumridhisha mtoto wako. Iko siku atakuambia nataka kupanda ndege na wewe uwezo huna ukaingia kukopa. Natumaini umenipata.
 

It is not a must get to see Kikwete. Hata mtoto mwenyewe hajui kama nafanya haya kwa ajili yake. Alichagua zawadi hiyo na kila mmoja wetu alibaki kashangaa, tukijiuliza kwa nini alichagua, pamoja na maswali mengine mengi tuliyomuuliza akayajibu majibu yaliyo sawa na yaliyopangwa. Tukaona tujaribu kutafuta njia. Hatujui mtoto huyu ana nini cha ziada tofauti na watoto wa umri wake.
.
Kama mzazi nadhani utanielewa ninachojaribu kufanya. We dont want to take her for granted. There is something different.
 
akae barabarani kikwete anapopita,kikwete atampa zawadi ya pipi.................au ataenda kubembea naye jamaica si unajua bembea ni kwa ajili ya watoto lkn babu kikwete anabembea na salma
..Ndio dalili za uzezeta nini hizo zee zima na my wife wake kwenda kubembea???!!! mhhh:A S 13::A S 13:
 
Mbona ubini wako unasomeka kama Malaria Sugu? (MS).
Kuhusu mwanao nakushauri usubirie magari ya kampeni yanayowachukua wadau uombe lift ukamwone kikwete raith mstaaf mtarajiwa
 
mbona ubini wako unasomeka kama malaria sugu? (ms).
Kuhusu mwanao nakushauri usubirie magari ya kampeni yanayowachukua wadau uombe lift ukamwone kikwete raith mstaaf mtarajiwa

umefikiri kwa makini
 
mpeleke kwenye kampeni tu atamuona bila shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…