Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Kitendo cha kunyolewa hilo ni tatizo la kiroho 100% so usihangaike hospital wala kwa waganga.
Hili la kunyolewa kichawi linaweza kuwa limechangia kwa kiasi flani, Mkuu Triple G anatakiwa afanye nini kma ni tatzo la kiroho???
 
Back
Top Bottom