Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 486
Hallo JF Dr.
Naomba msaada kwa madoctor wataalam wa afya.
Mwanangu wa Kike Ana umri wa Miezi mitatu na siku 7, kuna baadhi ya siku huwa anapata Choo laini chenye rangi ya kijani ila sio pure green Kama Jani la mgomba.
Nnaomba Kujua nn yaweza kuwa ni tatizo. Na chanzo chake pAmoja na Tiba yake.
Hii Hali ilianza siku mbili kabla hatujamuanzishia maziwa ya Kopo ila kwa sailings zaidi ya 98% an antonyms maziwa ya Mama(Kifuani)
Naombeni ushauri wenu.
Naomba msaada kwa madoctor wataalam wa afya.
Mwanangu wa Kike Ana umri wa Miezi mitatu na siku 7, kuna baadhi ya siku huwa anapata Choo laini chenye rangi ya kijani ila sio pure green Kama Jani la mgomba.
Nnaomba Kujua nn yaweza kuwa ni tatizo. Na chanzo chake pAmoja na Tiba yake.
Hii Hali ilianza siku mbili kabla hatujamuanzishia maziwa ya Kopo ila kwa sailings zaidi ya 98% an antonyms maziwa ya Mama(Kifuani)
Naombeni ushauri wenu.