Yaani mzazi unakutana na mwanao kwenye mitaa ya aina hii unahitajika ufanye kitu gani ?
Mkuu, umeshindwa kukaa chini na mwanao ukamueleza hayo mkiwa nyumbani?
Baba nitaacha usijaliMwanangu ujuwe nakuona na yale unayoyaandika na kuyavalia jezi hapa kwenye kijiwe cha mahusiano mapenzi na Unafiki.
Hivyo ni vizuri ukaachana na ukumbi huu haukufai na nakuona unavurugika akili na unayoyaandika hata mimi mzazi wako sijayafikia.
Yaani mzazi unakutana na mwanao kwenye mitaa ya aina hii unahitajika ufanye kitu gani ? na vizuri hajajijua kama ni yeye au wewe unaesoma.
Na yeye hana ufahamu kuwa mimi ni mwanachama tokea Jambo forums ,ondoka.
Kabla sijachangia chochote ninashauri utafute kifupisho kingine, hicho ulichoandika MMU tayari kimechukuliwa kinatumika huko MorogoroMwanangu ujuwe nakuona na yale unayoyaandika na kuyavalia jezi hapa kwenye kijiwe cha mahusiano mapenzi na Unafiki.
Hivyo ni vizuri ukaachana na ukumbi huu haukufai na nakuona unavurugika akili na unayoyaandika hata mimi mzazi wako sijayafikia.
😂😂Mwanao amefuata akili za hovyo za wewe baba yake
Wakati gani mzuri wa kufanyana
Usiku au mchana na kama ni usiku iwepo taa au izimwe ,madirisha yafungwe au yawachwe wazi ,kuna mapazia. tafadhali saidia utushauri. Nitafarijika zikiwepo sababu na ukosoaji. Ukizingatia kutupatia faida.www.jamiiforums.com