Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .