Mwanariadha aliyepeperusha bendera ya CHADEMA kwenye Marathon afika Mahakamani kufuatiilia Kesi ya Mbowe na wenzake

Mwanariadha aliyepeperusha bendera ya CHADEMA kwenye Marathon afika Mahakamani kufuatiilia Kesi ya Mbowe na wenzake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .

Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .

Mapema_leo_hii_%40sune_mushendwa_aliyekimbia_mbio_za_marathon_nchini_Denmark_na_kuipeperusha_b...jpg
Nimefurahi_sana_kukutana_na_huyu_Mwamba_%40sune_mushendwa_aliwahi_kushiriki_marathon_Nchini_De...jpg
 
Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .

Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .

View attachment 2024395View attachment 2024396
Mungu ni mkubwa kuliko mwanadamu yeyote yule awaye.
 
Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .

Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .

View attachment 2024395View attachment 2024396
Afande Mulilo hajaiona hii?

Visa yake tutaifuta😅😅
 
Sunne ni nomaaa.
Anafanya anachokiamini.
2025 achukue fomu Chuga.
 
Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .

Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .

View attachment 2024395View attachment 2024396
Tuko pamoja. Tunapinga dhuluma dhidi ya utu wa mtu
 
Back
Top Bottom