mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Hahaha Kuna mengine kama Iboya2021 Magonjwa Mtambuka @biayetu digba sowey Kinuju na mengine meengiiiWao wawatumie kina kipara kipya na Wakudadavua View attachment 2024425
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Kuna mengine kama Iboya2021 Magonjwa Mtambuka @biayetu digba sowey Kinuju na mengine meengiiiWao wawatumie kina kipara kipya na Wakudadavua View attachment 2024425
Halafu ukiitokea uchaguzi ccm wanashinda kwa 98% na hakuna wa kuwafanya kitu,watu wanaishia kususa kutoitambua serikali miaka inakatika uchaguz mwingine huu,bao zinapigwa tena...CDM kuna siasa za kizamani sana,wanatushinda hadi wazambia asee.Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
View attachment 2024395View attachment 2024396
Kila siku siyo JumapiliHalafu ukiitokea uchaguzi ccm wanashinda kwa 98% na hakuna wa kuwafanya kitu,watu wanaishia kususa kutoitambua serikali miaka inakatika uchaguz mwingine huu,bao zinapigwa tena...CDM kuna siasa za kizamani sana,wanatushinda hadi wazambia asee.
HakikaXaf xana celebrate wakianza kuingia kweny kupambania haki,wengi watavutwa kuingia
Wavimbe wapasuke....Upande wa pili roho zinauma balaa...
[emoji38][emoji38][emoji38]Wavimbe wapasuke....
Hureeee....Xaf xana celebrate wakianza kuingia kweny kupambania haki,wengi watavutwa kuingia
Mkuu Wanachungulia uzi kama nguchiroHahaha Kuna mengine kama Iboya2021 Magonjwa Mtambuka @biayetu digba sowey Kinuju na mengine meengiii
Hata wakati wa Magu bado alikuwa harakati..... hata mimi nilishangaa.Awamu ya 5 angetekwa
Nimewaza tu🤔 hyo bendera ingekuwa ya CCM hapo ingepigwa hata petition na wanachadema kumrudisha nyuma.Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
View attachment 2024395View attachment 2024396
Yani Nguvu ya Mungu ni CDM sio? Huyuhuyu Mungu muweza wa yote?Cdm ni nguvu ya Mungu hivyo hakuna mtu wa kuifanya cdm isipendwe au ichukiwe kama inavyo chukiwa ccm