Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Awamu ya 5 angetekwaSafi sana.
Huyu mwamba ni jasiri na mahiri sana.
Mungu ni mkubwa kuliko mwanadamu yeyote yule awaye.Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
View attachment 2024395View attachment 2024396
Cdm ni nguvu ya Mungu hivyo hakuna mtu wa kuifanya cdm isipendwe au ichukiwe kama inavyo chukiwa ccmAmeitangaza Nchi vema na Chama chake vema zaidi pamoja na madhila yote kinachofanyiwa.
Na wasiyo julikana?[emoji23][emoji23]Awamu ya 5 angetekwa
Wao wawatumie kina kipara kipya na WakudadavuaUpande wa pili roho zinauma balaa...
Naona wewe umefaidi sana kupatiwa hiyo dozi ya mayaiHaraka apelekwe kwa BonMAYAI akapatiwe mgawo wa MAYAI
Tulipowawekea mwaka jana walisema Photo ShopUpande wa pili roho zinauma balaa...
Afande Mulilo hajaiona hii?Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
View attachment 2024395View attachment 2024396
Tuko pamoja. Tunapinga dhuluma dhidi ya utu wa mtuKwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa Kufa na kupona .
Leo Mwanariadha huyu ambaye ni Maarufu duniani amefika kwenye Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi ili kujionea mwenyewe kesi ya Ugaidi ambao thamani yake ni Shilingi za kitanzania Laki sita .
View attachment 2024395View attachment 2024396
Hapana. Ni mwanaume mrefuNi Mtanzania?