Mwanariadha aliyepeperusha bendera ya CHADEMA kwenye Marathon afika Mahakamani kufuatiilia Kesi ya Mbowe na wenzake

Halafu ukiitokea uchaguzi ccm wanashinda kwa 98% na hakuna wa kuwafanya kitu,watu wanaishia kususa kutoitambua serikali miaka inakatika uchaguz mwingine huu,bao zinapigwa tena...CDM kuna siasa za kizamani sana,wanatushinda hadi wazambia asee.
 
Halafu ukiitokea uchaguzi ccm wanashinda kwa 98% na hakuna wa kuwafanya kitu,watu wanaishia kususa kutoitambua serikali miaka inakatika uchaguz mwingine huu,bao zinapigwa tena...CDM kuna siasa za kizamani sana,wanatushinda hadi wazambia asee.
Kila siku siyo Jumapili
 
Nimewaza tu🤔 hyo bendera ingekuwa ya CCM hapo ingepigwa hata petition na wanachadema kumrudisha nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…