tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
Ni leo jioni kijana huyu ataibeba Tanzania kimataifa huko New York Marekani atakapo shiriki na wanariadha wengine 50,000 kutoka duniani kote watanzania tumpe sapoti kwa kumtia moyo.
Rekodi za Simbu kimataifa ni kuwa ameshika nafasi ya 5 katika michezo ya Olympko Rio Olympic 2017,ameshika nafasi ya 3 IAAF Championships London 2017 na sasa yupo New York City Marathon 2018.