Mwanariadha Magdalena Shauri Ashinda medali ya Dhahabu Shenzhen Marathon, China

Mwanariadha Magdalena Shauri Ashinda medali ya Dhahabu Shenzhen Marathon, China

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
023F5ED0-49F5-4C17-8245-DDD46A7BA3BB.jpeg

Mwanariadha wa kimaraifa Magdalena Crispin Shauri ameshinda medali ya DHAHABU šŸ„‡ kwenye mbio za Shenzhen Marathon 2024 kwa muda wa saa mbili, dakika ishirini na tisa na sekunde thelathini (2:29:30) huko China leo 01/12/2024.

Magdalena ni mwanariadha kutoka jeshi la JWTZ na ni wiki moja tu alikuwa kwenye mbio za majeshi abuja, Nigeria na kushinda pia medali ya dhahabu.
9e3fd336-253e-4b7f-89a6-9bca076d9c39.jpeg
 
View attachment 3166637
Mwanariadha wa kimaraifa Magdalena Crispin Shauri ameshinda medali ya DHAHABU šŸ„‡ kwenye mbio za Shenzhen Marathon 2024 kwa muda wa saa mbili, dakika ishirini na tisa na sekunde thelathini (2:29:30) huko China leo 01/12/2024.

Magdalena ni mwanariadha kutoka jeshi la JWTZ na ni wiki moja tu alikuwa kwenye mbio za majeshi abuja, Nigeria na kushinda pia medali ya dhahabu.
Ametisha sana, ndani ya wiki moja kafanya vitu mara mbili.

Hongera zake.
 
Back
Top Bottom