Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Na Motisha Pia🤣Hakika hakuna kama Mama Samia, bila yeye huu ushindi ungepatikana wapi? Ameongezea nguvu ya mwili na akili vijana
Nani kama mama?
Hakika hakuna kama Mama Samia, bila yeye huu ushindi ungepatikana wapi? Ameongezea nguvu ya mwili na akili vijana
Nani kama mama?
HahahahaHakika hakuna kama Mama Samia, bila yeye huu ushindi ungepatikana wapi? Ameongezea nguvu ya mwili na akili vijana
Nani kama mama?
Ametisha sana, ndani ya wiki moja kafanya vitu mara mbili.View attachment 3166637
Mwanariadha wa kimaraifa Magdalena Crispin Shauri ameshinda medali ya DHAHABU 🥇 kwenye mbio za Shenzhen Marathon 2024 kwa muda wa saa mbili, dakika ishirini na tisa na sekunde thelathini (2:29:30) huko China leo 01/12/2024.
Magdalena ni mwanariadha kutoka jeshi la JWTZ na ni wiki moja tu alikuwa kwenye mbio za majeshi abuja, Nigeria na kushinda pia medali ya dhahabu.
2x3 Kila baada ya masaa nane,! Usisahau usingizi wa kutosha na maji mengiHakika hakuna kama Mama Samia, bila yeye huu ushindi ungepatikana wapi? Amewaongezea nguvu ya mwili na akili vijana wetu
Nani kama mama?