Mwanariadha Mjerumani mwenye asili ya Tanzania ashinda dhahabu mashindano ya Olimpiki

Bongo angeshawishiwa kujiunga na CCM na kupewa ubunge.
 
Hivi wale mnaoangalia Olympics mmeshawaona Watanzania kule Tokyo 2020. Mimi naangalia sana sijamuona hata mbongo mmoja.
Nilitegemea ningemuona mtanzania hata kwenye masumbwi lakini imekuwa tofauti ki ukweli wizara ya habari na michezo inachakujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…