Mwanariadha Mjerumani mwenye asili ya Tanzania ashinda dhahabu mashindano ya Olimpiki

Mwanariadha Mjerumani mwenye asili ya Tanzania ashinda dhahabu mashindano ya Olimpiki

Kwenye suala la Diaspora na Dual citizen nakumbuka kuna kipindi lilikua linajadiliwa bungeni wabunge wa chama tawala walikua wanatoa macho kukataa mpaka unashangaa halafu hawana hoja za msingi.
Pia Tanzania hatudhamini vipaji vyetu yaani huyo angekua bongo angekua msindikizaji tu maani ni kichwa cha mwendawazimu
 
Kwenye suala la Diaspora na Dual citizen nakumbuka kuna kipindi lilikua linajadiliwa bungeni wabunge wa chama tawala walikua wanatoa macho kukataa mpaka unashangaa halafu hawana hoja za msingi.
Pia Tanzania hatudhamini vipaji vyetu yaani huyo angekua bongo angekua msindikizaji tu maani ni kichwa cha mwendawazimu
Tanzania ni nchi ya kipuuzi sana viongozi wenu wamewarithisha ujinga watanzania

kuwa na uraia pacha hawataki!
nchi yenu ni yakishamba sana.

bora mfe masikini.
 
Macho yangu au
20210803_171313.jpg

Ni real apo alipandisha bendera mlima Kilimanjaro
 
Hivi wale mnaoangalia Olympics mmeshawaona Watanzania kule Tokyo 2020. Mimi naangalia sana sijamuona hata mbongo mmoja.
Wakuu Raia wa Ujerumani mwenye asili ya Tanzania Malaika Mihambo, amelishindia taifa lake medali ya dhahabu katika mashindano ya michezo ya Olimpiki ya long Jump.

Mwanaridha huyo aliruka urefu wa mita saba ili kuchukua ushindi.

Awali Mihambo alikabiliwa na changamoto kadhaa kabla ya mashindano hayo lakini hatimaye alifanikiwa kuonesha umahiri wake.

Katika fainali ya mchezo huo iliofanyika hii leo Jumanne, bi Malaika hakuonesha ishara zozote za kuibuka mshindi.

Urefu wa mita saba alioruka katika jaribio la sita ulimwezesha kuipatia Ujerumani nishani yake ya kwanza ya dhahabu katika mchezo huo tangu Heike Drechsler aliposhinda mwaka 2000.

Nishani ya fedha ilimwendea mshindi mara nne wa mashindano ya dunia na Olimpiki yaliofanyika mjini London Brittney Reese wa Marekani baada ya kuruka mita 6.97 huku Ese Brume wa Nigeria akijinyakulia medali ya shaba na kuiongezea Afrika idadi ya medali katika michezo hiyo.

Sisi Watanzania Tunafail Wapi Kwenye Hili Jambo?
 
Hivi izo olympiki mbona sisi waluguru wenye asili ya kizaramo hatushindagi kila siku ni wagerumani wenye asili ya Tanzania au sweden mwenye asili ya Tanzania tu
 
Hivi izo olympiki mbona sisi waluguru wenye asili ya kizaramo hatushindagi kila siku ni wagerumani wenye asili ya Tanzania au sweden mwenye asili ya Tanzania tu
Sasa unashindia ugali na bamia ndiyo ushinde Olimpiki!! Sisi ni wasindikizaji tu.
 
Hivi wale mnaoangalia Olympics mmeshawaona Watanzania kule Tokyo 2020. Mimi naangalia sana sijamuona hata mbongo mmoja.
watanzania watakimbia kwenye marathon tarehe 7 na 8
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tanzania ni nchi ya kipuuzi sana viongozi wenu wamewarithisha ujinga watanzania

kuwa na uraia pacha hawataki!
nchi yenu ni yakishamba sana.

bora mfe masikini.
Eti kwa akili zao tukiruhusu uraia pacha kutatokea vita!! Hii nchi ina viongozi wengi Mbulukenge mpaka basi.
 
Back
Top Bottom