Mwanariadha Simbu aweka muda bora 2:04:38 Valencia Marathon 2024

Mwanariadha Simbu aweka muda bora 2:04:38 Valencia Marathon 2024

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
IMG_4324.jpeg
Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi 4 kwa muda wa saa mbili , dakika 4 na sekunde thelathini na nane ( 2:04:38 PB) na kuweka muda bora zaidi ya uliopita wa (2:05:39 huko China) kwenye mbio za Valencia Marathon 2024 huko Valencia, Uhispania.

Mashindano hayo yamefanyika leo 1/12/2024 Valencia,Spain.

Washindi
Mshindi wa Kwanza 2:02:05 mkenya
Mshindi wa pili 2:02:38 ethiopia
Mshindi wa tatu 2:04:24 mkenya
Mshindi wa nne 2:0438 Mtanzania
 
Hamna pongezi hapo Mkuu, huyo kijana alitakiwa kushika namba moja, hiyo namba nne haina maana yoyote kwa mazoezi nilikuwa nikiona wakifanya nikiwa student pale skuli ya vipaji maalum!! Kazi kupanda juu Mlimani na kushuka chini kutwa nzima.
Please Please kaaa kimya wewe unaonekana hujui Kikimbia! Hata Ukiwmbiwa Hebu Kimbia Kariakoo hadi Hadi Ubungo na Kurudi huwezi! Wenzio wanakimbia kutoka Magomeni hadi kibaha kwenda na Kurudi kwa Kasi!
Wewe hata Mwenge hadi Mlimani city huwezi!
Hebu kaaa kimya Tena!
Haya Mambo tuachie sisi!
Unaudhi sanaa!
Hujui ni Nchi ngapi na Wanariadha gani walikuwepo huko!
1.Aliekuwa anashikilia Course record ya Valencia Sisay Lema mwenyewe amekuwa wa 10 huko!
Kapata Muda wa 2:04:59
Kawapita Manguli wengi sanaa,Unajua Mbio hiyo ilikuwa na Manguli Duniani wakenye na Ethiopia ambao hata Yeye alikuwa hana record za Kuwafikia hao???
Ila Leo kawapita!
Unajua wakenya Wa Train kwenye Altitude ya 2,300m above see level almost kila wiki??
Wana Special diet,(Diet sio kutokula inawezekana pia nalo huelewi)
Wana Special doctor wa Mazoezi!
Wana mji maalum kwa mazoezi Duniani na Watu mbali mbali wanakwenda huko!
Warthiopia pia ni Wababe kwa Mbio hatuwafikii nao walikuwepo!
Angalia kwanza Takwimu zao ndio uanze kukebehi au kutoa maneno uliosema hapa! Nimeweka Attachment ya World record waliomzidi Simbu kabla ya leo na Record za Leo uone tofauti alichokifanya Simbu Leo ni kikubwa sanaa anastahili Pongezi Mnooo🔥🔥💪👏 Hiyo attachment aliokuwa wa 4,Aliotumia 2:04ndio ya Leo,
 

Attachments

  • ddbe697a-9322-4a6e-a562-195f6447827c.jpeg
    ddbe697a-9322-4a6e-a562-195f6447827c.jpeg
    129.3 KB · Views: 5
  • IMG_2485.jpeg
    IMG_2485.jpeg
    560.7 KB · Views: 5
Kwa taarifa, simbu alitoka kushinda mbio za Majeshi zilizofanyika trh 23 nov 24 week moja mbele yaani leo kashindana valencia, sio rahisi kama mnavyofikiria asee, tena kakimbia kwa muda wake bora
 
Please Please kaaa kimya wewe unaonekana hujui Kikimbia! Hata Ukiwmbiwa Hebu Kimbia Kariakoo hadi Hadi Ubungo na Kurudi huwezi! Wenzio wanakimbia kutoka Magomeni hadi kibaha kwenda na Kurudi kwa Kasi!
Wewe hata Mwenge hadi Mlimani city huwezi!
Hebu kaaa kimya Tena!
Haya Mambo tuachie sisi!
Unaudhi sanaa!
Hujui ni Nchi ngapi na Wanariadha gani walikuwepo huko!
1.Aliekuwa anashikilia Course record ya Valencia Sisay Lema mwenyewe amekuwa wa 10 huko!
Kapata Muda wa 2:04:59
Kawapita Manguli wengi sanaa,Unajua Mbio hiyo ilikuwa na Manguli Duniani wakenye na Ethiopia ambao hata Yeye alikuwa hana record za Kuwafikia hao???
Ila Leo kawapita!
Unajua wakenya Wa Train kwenye Altitude ya 2,300m above see level almost kila wiki??
Wana Special diet,(Diet sio kutokula inawezekana pia nalo huelewi)
Wana Special doctor wa Mazoezi!
Wana mji maalum kwa mazoezi Duniani na Watu mbali mbali wanakwenda huko!
Warthiopia pia ni Wababe kwa Mbio hatuwafikii nao walikuwepo!
Angalia kwanza Takwimu zao ndio uanze kukebehi au kutoa maneno uliosema hapa! Nimeweka Attachment ya World record waliomzidi Simbu kabla ya leo na Record za Leo uone tofauti alichokifanya Simbu Leo ni kikubwa sanaa anastahili Pongezi Mnooo🔥🔥💪👏 Hiyrlin o attachment aliokuwa wa 4,Aliotumia 2:04ndio ya Leo,
Simbu ana uwezo wa kurun sub 2:04 kwenye fast course yà Berlin au Valencia next year.
 
Yaap berlin atakimbia mda mzuri zaidi maana inasemekana njia yake haina milima mikali kabisa 90 asilimia ni tambarare
Simbu ana uwezo wa kurun sub 2:04 kwenye fast course yà Berlin au Valencia next year.
 
Hakika kwa Ujasiri, Uwezo na Uthubutu anaotoa Mama Samia kwa vijana wa kitanzania popote walipo duniani

Hakuna kama Mama Samia Suluhu Hassan

Hongera sana mama Samia, Unaupiga mwingi
 
View attachment 3166511Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi 4 kwa muda wa saa mbili , dakika 4 na sekunde thelathini na nane ( 2:04:38 PB) na kuweka muda bora zaidi ya uliopita wa (2:05:39 huko China) kwenye mbio za Valencia Marathon 2024 huko Valencia, Uhispania.

Mashindano hayo yamefanyika leo 1/12/2024 Valencia,Spain.

Washindi
Mshindi wa Kwanza 2:02:05 mkenya
Mshindi wa pili 2:02:38 ethiopia
Mshindi wa tatu 2:04:24 mkenya
Mshindi wa nne 2:0438 Mtanzania
Wamekimbia kilometa ngapi?
 
Ila vijana siku hizi wako kasi mno. Mwaka 2003 world record ilikuwa inasoma 2:04:55 ya Paul Tergat. Ina maana muda wa Simbu tayari umeipita hiyo rekodi. Vijana hawana utani.
 
Ila vijana siku hizi wako kasi mno. Mwaka 2003 world record ilikuwa inasoma 2:04:55 ya Paul Tergat. Ina maana muda wa Simbu tayari umeipita hiyo rekodi. Vijana hawana utani.
Mkuu Mambo ni mengi shoes, nutritions, training programs bila kusahau doping
 
Wadau wanasema kipchoge
Itakuwa kwa sababu karibu wanariadha wote wanaofanya vizuri kuna tuvituvitu wanatumia hasa nyakati za mazoezi. Hata hawa wa hapa TZ sio hivihivi... mambo ni mengi sana. Kudumu kwenye kiwango kwa zaidi ya miaka 5 sio mchezo.
 
Back
Top Bottom