figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hongera Mwanariadha wetu wa Tanzania Failuna Matanga kwa kushika nafasi ya 3 Hamberg Marathon (Ujerumani) ukitumia mda wa 2:27:55.
Kwa Matokeo haya-amefuzu kucheza Mashindano ya Riadha ya Dunia yatakayofanyika Doha Mwaka huu 2019 na Mashindano ya Olympic Mwaka 2020-Tokyo (Amejishindia pia Zawadi ya Dola elfu 10 pamoja na Appearance Dola 5000 sawa na wastani wa Jumla ya Tsh.Milion 33 za Kitanzania)
Hongera Sana “Anthony Mtaka ,Rais wa Chama cha Liadha
Kwa Matokeo haya-amefuzu kucheza Mashindano ya Riadha ya Dunia yatakayofanyika Doha Mwaka huu 2019 na Mashindano ya Olympic Mwaka 2020-Tokyo (Amejishindia pia Zawadi ya Dola elfu 10 pamoja na Appearance Dola 5000 sawa na wastani wa Jumla ya Tsh.Milion 33 za Kitanzania)
Hongera Sana “Anthony Mtaka ,Rais wa Chama cha Liadha