Itarud Kwa Mama yupi we kilaza , unajua sarakasi za Mali lakini wewe , muulize mrema wa Arusha Billionaire wa mahotel watoto wanavyoburuzana mahakamani na wanapishana kurogana Kwa waganga au muulize Kylin wa mengi , ndo mana Msando amewafungua ili kumuweka kwenye safe zone huyo Lulu .... Hata kama akizaa Kwa Mali zilizopo mtoto atagawiwa kama watoto wengine ,Jambo sahihi ni kutozifikria hzo Mali apambane zipatikane za kwnye ndoa madam bado Majizo ana nguvu ..... Huwa mna vichwa vigumu Sana ndo mana mambo yakiharbika mnakimbilia kwenye media na mashirika ya haki za wanawake na still inakuwa too late....na bado hujui hzo Mali kaandikiwa Nani pengine tayar jamaa ashaziandikia mmiliki Kisheria ..we unakazana kukata mauno kitandani