Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Kilaza wa kwanza wewe!
Pili tafuta mali ndugu acha kuzipangia mali za mwanaume mwenzio ampe nani na asimpe nani!
 
Kilaza wa kwanza wewe!
Pili tafuta mali ndugu acha kuzipangia mali za mwanaume mwenzio ampe nani na asimpe nani!
Kilichokufanya udandie comment yangu ni nini kama sio kiherehere .....utapigwa mtungo wewe Kwa tamaa zako...endelea na kisaluni chako uchwara
 
Mshaurini apunguze Instagram. Ndio maana binafsi namkubali sana Jenipher Kyaka.

Hiyo Lulu imetokea tu Nadhani kama bahati ( maana huyo Majizzo mhuni tu ), so, apunguze mbwembwe kama vile anasuta watu.
Akimaliza hamu ataacha.
 
Hahaha haya ndio mujue kuwa kama mnadate, hamjafunga ndoa bado ila anakutumia ipasavyo lakini anasave kwa ajili ya kujipanga.....imekula kwako. Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…