Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

Akiba ya maneno haiozi.... jifunzeni kutumia akili kufikiri
 


Bahati mbaya sana kashaingia chumbani saa, sijuhi utafanyaje?
 

Ndio kawa AG Sasa, kachaguliwa na Mzalendo Namba Moja.
Tupe Maoni yako ???
 
Uchambuzi murua sana huu, logic and reasoning ni muhimu sana kwa kila mwana taaluma kuisoma.

Hongera pia kwa kula bingo ya kuwa AG(very very important position in Tanzania).
 
Yaan tungekuwa kule Insta ningekutusi NYOO...kumbe sasa ndo ujue hata Sizonje ana wivu na Elimu ya Lissu ndo maana alitamani kum-assassinate!
 
AKirudi usimshangae atakapomsifia na kumuabudu maana Mwenyekiti wa Zidumu Fikra za Mwalimu amemteua.
Na ninyi endeleeni kumsifia hata baada ya kuteuliwa
 
Kumbe Sizonje alichungulia huku, hahaha....sasa mbona tena huwa anatishia kuwafunga ama 'kuwapoteza' akina Mexence Melo, kama ilivyo kawaida yake kupoteza watu?
 
Na ninyi endeleeni kumsifia hata baada ya kuteuliwa

Sina ubaya naye mradi atumie TAALUMA yake kutenda HAKI,kwa maana HAKI haiombwi,na ni LAZIMA kwake kutenda HAKI siyo OMBI.

Nampa Hongera kwa kuteuliwa,alitendee HAKI taifa lake na SI mtu au Chama
 
Hakuna aliyeweza kupingana na ukweli akafanikiwa. Dawa ya ukweli ni kuufuata na wala si kuupinga ama kumpinga aliyeuleta.
 

Najua ni uzi wa zamani. Lkn nakushaur mnapochangia hoja kua kama msomi, Achana na uchama. Leo uliyemtukana kila aina ya matusi kama mwanasheri koko nk, Rais wa Nchi kaona anafaa kua AG. Jitahidi kua na akiba ya maneno.
 
Kwahiyo kwenye mikataba yote ambayo imeshasainiwa bila hiyo clause, ambayo wanaiita “clausula rebus sic stantibus” ambapo inaruhusu mkataba upitiwe kama baadhi ya masharti yamekiukwa.(kipengele # 22)

Hivyo hatuwezi kushinda kesi dhidi ya hao watu kwenye mikataba ya zamani. Ni kuhakikisha mikataba mipya hiyo clause inakuwepo!
 
Weka akiba ya maneno wewe!

Jana uliniita kibaraka wa mwingereza! Kumbe ndo ujinga wako unauonyesha badala ya kuuficha.
 
Kwi! Kwi! Kwi!
 

Hizi Id feki hizi......wewe jamaa unaweza kuta ni mtu unayeheshimika sana hapo ccm sijui sasa hivi unajisikiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…