ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,012
afadhali umelikumbusha nzi la kijani tena la chooni,lilishasahaugi kwamba lilitukanaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afadhali umelikumbusha nzi la kijani tena la chooni,lilishasahaugi kwamba lilitukanaga
Kilangi ameeleza ukweli, Nadhani ndiye aliyechaguliwa kuwa mwanasheria mkuu (Attorney General) na rais Magufuli. Siyo lazima upinge kila kitu.Agent of imperialist at work. Ahadi mojawapo Ya mwana Tanu ilikuwa ikisema nitajiellimisha kwa kadri Ya uwezo wangu kwa faida Ya watanzania walio wengi .mleta maada kajielimisha sana kwa faida ya imperialists. Very sad.Yeye na tundu lisu wamejielimisha sana kwa faida ya imperialists