Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

We changudoa wa kimboka unaandika upumbavu wako kama umetoka kulaliwa umeona JPM kamkubali kampa idara nyeti we mfia lumumba domo tu pumbavu kabisa
 
Kifikra na kimatendo Lissu anahitajika sana ktk nchi hii. Kama Dr Kilangi anakubalika basi Lissu anakubalika zaidi. Hapa naona walumumba wamewekwa pembeni maana wanadanganya mkulu.... amewashitukia kafuata ukweli....
 
We changudoa wa kimboka unaandika upumbavu wako kama umetoka kulaliwa umeona JPM kamkubali kampa idara nyeti we mfia lumumba domo tu pumbavu kabisa
Kwa hii andiko uliloandika unastahili kutunukiwa Phd .Mimi self declared university chancellor of presitege jamii forum international professor emiretus Yehodaya kwa mamlaka niliyojipa mwenyewe nakutunuku PHd ya Ubwege
 
Unajisikiaje baada ya huyu uliyemuweka kundi moja na Tundu Lissu kwa kumuita Agency wa Imperialist kuteuliwa kushika nafasi nyeti.
 
Unajisikiaje baada ya huyu uliyemuweka kundi mija na Tundu Lissu kwa kumuita Agency wa Imperialist kuteuliwa kushika nafasi nyeti.
Poa tu Binadamu hubadilika akina Anna Mgwira, kitila mkumbo ,wabunge akina molell ,mtulia nk ,Dk slaa mbona wamebadilika? Nawapongeza Hainipi shida una swali lingine mkuu ?
 
Mkuu umejificha wapi?
Njoo huku sasa mambo ni moto
 
Natamani ule mjadala Wa ndege, lease or purchase
 
Ili andiko mkuu akiliona cjui....nn kitafataa maana like kaka wa Taifa
 
Doh!Kweli Watanzania tusipoacha Siasa za kishabiki na Uchumia Tumbo hatutafika popote.Cheki huyu Mwehu alivyomporomoshea Mzee wa watu Matusi,kejeli na Dharau kumbe mzee wa watu was in the right track.Wajanja wameona Manufaa yake.Aiseeee!!Hata Lissu one day mtakuja kumwelewa tu.
 
Unajisikiaje unayemsema leo ndio AG? Acha unafiki.
 
Natamani ule mjadala Wa ndege, lease or purchase
Unajisikiaje unayemsema leo ndio AG? Acha unafiki.
Hii mada mumeiigeuza kunijadili mimi mheshimiwa sana Yehodaya badala ya mteuliwa moderators naomba mbadilishe kichwa muniweke jina langu liwe kwenye kichwa cha mada ili nijadiliwe vizuri hamnitendei haki watu wananijadili badala ya mteuliwa.Wapeni nafasi watu wajimwage wamjadili mheshimiwa Yehodaya
 
We changudoa wa kimboka unaandika upumbavu wako kama umetoka kulaliwa umeona JPM kamkubali kampa idara nyeti we mfia lumumba domo tu pumbavu kabisa
Huyu mrundi baada ya kupewa uraia anatafuta namna ya kutokurudishwa Burundi.
 
Umeumbuka mchana kweupe ns bichwa lako jeupe
 
Wanakujadili kwa mihemuko ulioionyesha sio kila anaekuwa na mawazo tofauti na wewe ni mbaya kuna wengine wanakuonyesha njia njema.
Punguza munkari wa uchama.
 
Mkuu vipi?bado huyu jamaa ni imperialist au unampigia salute?
Poor you
 
Kwa akili hii Nahisi kesho utaandika kusifia
 
Vip leo utamuitaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…