The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Nahitaji mwanasheria/wakili Mbobezi Ambae atanisaidia kuendesha mashtaka yangu mahakamani.
Kesi ni Ya WIZI ila wizi ambao ndugu wanataka ugeuza uwe madai tumalize nnje ya mahakama ila hawafiki dau ninalotaka la pesa zilizoibwa.
Nadhani acha iende mahakamani ili tu iwe itakavyokua.
Muda wangu ni mchache kusimama mahakamani nahitaji Wakili/Mwanasheria kwa msaada wa hili.
Karibu PM
Kesi ni Ya WIZI ila wizi ambao ndugu wanataka ugeuza uwe madai tumalize nnje ya mahakama ila hawafiki dau ninalotaka la pesa zilizoibwa.
Nadhani acha iende mahakamani ili tu iwe itakavyokua.
Muda wangu ni mchache kusimama mahakamani nahitaji Wakili/Mwanasheria kwa msaada wa hili.
Karibu PM