ledman mtana
New Member
- May 19, 2010
- 3
- 0
Mungu aendelee kutupe usafi wa akili na mwili tu. With this government tuna safari ndefu sana. Umeme kero, elimu mbovu, rushwa, viongozi wasio na tija. mh!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani hapa na wewe kama sio kutukana kwa ku gerenalise watu??
What is a "typical mkurya" ???
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?
Few African leaders since independence have given up power peacefully. Good example is the Late Mwl. Nyerere and the likes. We may not be able to agree on a definition of "power hungry" that applies specifically to African leaders. But the question to ask ourselves is why most of African Leaders are fond of power ("power hungry")? Robert Mugabe of Zimbabwe is a good example of a power-hungry African leader. He holds onto the reins of power no matter the cost to his country's people. His power is unchecked by any constitution or democratic structure - Zimbabwe has both, but they are designed not to interfere with autocratic rule. He is only subject to the rule of rebellion, which has not quite materialized yet, and to the rule of age, which he has fended off for now. He thinks he will rein Zimbabwe for the whole of his life.Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?