Mwanasheria Mkuu Feleshi unaitia aibu Serikali na wananchi, umeshindwa kutetea nchi unawatafuta vidagaa kujiridhisha

Mwanasheria Mkuu Feleshi unaitia aibu Serikali na wananchi, umeshindwa kutetea nchi unawatafuta vidagaa kujiridhisha

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu Feleshi ni mtu wa ajabu. Kwanza ana historia ya ufisadi (suala la Plea Bargaining hatujapata jibu).

Pili, ameshindwa kuitetea serikali au kushauri invyotakikna katika sula la mkataba wa DP World na serikali. Mpaka sasa hajatoa kauli ya kueleweka kwa nini mkataba usio na maslahi kwa nchi bado ukapitishwa bungeni. This is professional vandalism na misconduct.

TLS kma mpo mnaweza kulichukua suala hili kitaaluma, na kulinganisha na kiapo alicho ahidi huyu AG Feleshi mbele ya nchi na Rais.

Tatu sasa wale wanaoitetea nchi, anawafuata fuata kwa cheo chake, Kimsingi ni maumizi mabaya ya madaraka. Hili nalo linaweza kuchunguzika ukitilia maanani matukio ya hapo juu.

Nidiriki kusema huyu AG Feleshi is corrupt!
 
Kwa jinsi tunavyopigwa kwenye mikataba, ni wazi kuwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ina changamoto ya manpower.
Naishauri serikali kuwahamisha 80% wafanyakazi wa ofisi hii na kuwarejesha kwenye mahakama kisha kuchukua wanasheria wabobezi kutoka mahakama kuu divisheni ya biashara pamoja na sekta binafsi na kuwajaza kwenye ofisi hii ili kuiongezea nguvu.
 
Kwa jinsi tunavyopigwa kwenye mikataba, ni wazi kuwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ina changamoto ya manpower.
Naishauri serikali kuwahamisha 80% wafanyakazi wa ofisi hii na kuwarejesha kwenye mahakama kisha kuchukua wanasheria wabobezi kutoka mahakama kuu divisheni ya biashara pamoja na sekta binafsi na kuwajaza kwenye ofisi hii ili kuiongezea nguvu.
Mkuu hakuna changamoto ya manpower hapo.
Watu wanakalia viti kwa kupendelewa.
Hatuwezi kuwa tunapigwa kisheria kila kukicha halafu watu wapo, ati ni Mwanasheria Mkuu.
Kuna hewa ambayo haiwezi kulitetea Taifa.
Mteremko ni kufungia wanasheria wenye akili za kuwazidi.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu Feleshi ni mtu wa ajabu. Kwanza ana historia ya ufisadi (suala la Plea Bargaining hatujapata jibu).

Pili, ameshindwa kuitetea serikali au kushauri invyotakikna katika sula la mkataba wa DP World na serikali. Mpaka sasa hajatoa kauli ya kueleweka kwa nini mkataba usio na maslahi kwa nchi bado ukapitishwa bungeni. This is professional vandalism na misconduct.

TLS kma mpo mnaweza kulichukua suala hili kitaaluma, na kulinganisha na kiapo alicho ahidi huyu AG Feleshi mbele ya nchi na Rais.

Tatu sasa wale wanaoitetea nchi, anawafuata fuata kwa cheo chake, Kimsingi ni maumizi mabaya ya madaraka. Hili nalo linaweza kuchunguzika ukitilia maanani matukio ya hapo juu.

Nidiriki kusema huyu AG Feleshi is corrupt!
Huyo Feleshi ni debe lisiloacha kutika.
Yuko incompetent and yuko unable to execute his duties.
Kwa nini bado yuko pale hata hatujui maana kwenye kesi za kupigwa mabilioni haendi anawatuma mambumbumbu wa kisheria kama kina Prof Maruma.
 
Kuna kipindi Feleshi aliwahi kutajwa kwenye issues za ufisadi na gazeti la mwanahalisi,kipindi kile likiwa ni gazeti lililokuwa linaandika habari za kiuchunguzi.Sikumbuki ni issue gani lakini jina hili sio geni kwenye ufisadi.Sasa hivi anatajwa kwenye plea bargain,na ofisi yake kushindwa kuishauri serikali mpaka ikaingia mkataba wa hovyo .

Hata bungeni Fereshi alikabidhi wajibu wake kwa Tulia wakati wa kupitisha mkataba.Ni kama hakuwepo tu.Yaani mtu unasoma,unamaliza vizuri,unaajiriwa lakini utumishi wako wote unatumia kuiba,kupindisha Sheria,kutotekeleza wajibu,kuwashughulikia wanaowasemea raia na kuwalinda viongozi dharimu[emoji15]
 
Ameshindwa kutoa ufafanuzi kwenye swala sensitive la CJ!? Chief Justice
 
Kuna kipindi Feleshi aliwahi kutajwa kwenye issues za ufisadi na gazeti la mwanahalisi,kipindi kile likiwa ni gazeti lililokuwa linaandika habari za kiuchunguzi.Sikumbuki ni issue gani lakini jina hili sio geni kwenye ufisadi.Sasa hivi anatajwa kwenye plea bargain,na ofisi yake kushindwa kuishauri serikali mpaka ikaingia mkataba wa hovyo .

Hata bungeni Fereshi alikabidhi wajibu wake kwa Tulia wakati wa kupitisha mkataba.Ni kama hakuwepo tu.Yaani mtu unasoma,unamaliza vizuri,unaajiriwa lakini utumishi wako wote unatumia kuiba,kupindisha Sheria,kutotekeleza wajibu,kuwashughulikia wanaowasemea raia na kuwalinda viongozi dharimu[emoji15]
Huyu jamaa Feleshi, ndio dalili ya wazi ya grand ccorruption.
Halafu tunasema tuna TAKUKURU!
 
Kuna kipindi Feleshi aliwahi kutajwa kwenye issues za ufisadi na gazeti la mwanahalisi,kipindi kile likiwa ni gazeti lililokuwa linaandika habari za kiuchunguzi.Sikumbuki ni issue gani lakini jina hili sio geni kwenye ufisadi.Sasa hivi anatajwa kwenye plea bargain,na ofisi yake kushindwa kuishauri serikali mpaka ikaingia mkataba wa hovyo .

Hata bungeni Fereshi alikabidhi wajibu wake kwa Tulia wakati wa kupitisha mkataba.Ni kama hakuwepo tu.Yaani mtu unasoma,unamaliza vizuri,unaajiriwa lakini utumishi wako wote unatumia kuiba,kupindisha Sheria,kutotekeleza wajibu,kuwashughulikia wanaowasemea raia na kuwalinda viongozi dharimu[emoji15]
Feleshi fisadi, anatumia kupindisha sheria au mikataba.
Ukiniuliza kuwa baada we wizi wa kimtindo wa Plea bargaining, kwa nini yuko pale, basi ujue nguvu ya rushwa.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu Feleshi ni mtu wa ajabu. Kwanza ana historia ya ufisadi (suala la Plea Bargaining hatujapata jibu).

Pili, ameshindwa kuitetea serikali au kushauri invyotakikna katika sula la mkataba wa DP World na serikali. Mpaka sasa hajatoa kauli ya kueleweka kwa nini mkataba usio na maslahi kwa nchi bado ukapitishwa bungeni. This is professional vandalism na misconduct.

TLS kma mpo mnaweza kulichukua suala hili kitaaluma, na kulinganisha na kiapo alicho ahidi huyu AG Feleshi mbele ya nchi na Rais.

Tatu sasa wale wanaoitetea nchi, anawafuata fuata kwa cheo chake, Kimsingi ni maumizi mabaya ya madaraka. Hili nalo linaweza kuchunguzika ukitilia maanani matukio ya hapo juu.

Nidiriki kusema huyu AG Feleshi is corrupt!
Tuko huku vijiji tunangoja ccm watupe elimu watuambie uzuri wa mkataba wa uwekezaji wa bandari kifungu kwa kifungu sijui watapita lini huku kwetu.chadema wametuelimisha ubaya wa mkataba huu kifungu kwakifungu
 
yani mwabukusi ndio amekua na sifa za kua karibu na raisi maana anaonekana ni msaada kwa taifa mwanasheria mkuu hajui kitu na mkuu wa mawazir nae hajui kitu kuhusiana na utaalamu wa mikataba hawajui ni kweli usijefikil wanajifanyisha hawana utaalamu wa kuoverlook contract. yaaani sio wataalamu ndio maana tumefika hapa
 
Dr. kasheku ndo alitumwa kuja kutoa ufafanuzi wa vifungu vya mkataba wa bandari kwa vyombo vya habari, huyo bwana fresh naona alikuwa kazidiwa na majukumu......nchi inaendeshwa kama kijiwe cha kahawa.
 
yani mwabukusi ndio amekua na sifa za kua karibu na raisi maana anaonekana ni msaada kwa taifa mwanasheria mkuu hajui kitu na mkuu wa mawazir nae hajui kitu kuhusiana na utaalamu wa mikataba hawajui ni kweli usijefikil wanajifanyisha hawana utaalamu wa kuoverlook contract. yaaani sio wataalamu ndio maana tumefika hapa
Ilitakiwa Mwabukusi ndiye awe Mwanasheria Mkuu, huyu Feleshi akajifunze kazi au astaafu maana akili yake haiiaidii nchi.
 
Back
Top Bottom