peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hata kama aliuza rasilimali Za Taifa?Kwa hiyo Kila Rais akifariki Madarakani itakuwa public holiday? Huu ni aina nyingine ya ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama aliuza rasilimali Za Taifa?Kwa hiyo Kila Rais akifariki Madarakani itakuwa public holiday? Huu ni aina nyingine ya ujinga.
Karume naye alikufa akiwa RaisToka tupate uhuru.miaka zaidi ya 60 ni raisi mmoja tu aliyekufa akiwa madarakani
Sioni shida kwa hilo lipitishwe tu na bunge
Ni kifo kizito sana
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Dkt. Eliezer Feleshi amewasilisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali wa mwaka 2023 Bungeni Jijini Dodoma ikiwemo Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa, Sura ya 419 ambapo pamoja na mambo mengine marekebisho haya yanakusudia kutoa mamlaka kwa Rais kutangaza tarehe ya maziko ya Rgozi mahsusi walio madarakani”
Hata Mkapa mlisemaga kauza ila ndio Rais alikuza uchumi kushinda wote,the same to Samia ila tofauti ni kwamba huyu ni mwanamama kutoka Zanzibar ndio maana makelele yanatoka Kwa Wabara Kwa sababu za Kisiasa.Hata kama aliuza rasilimali Za Taifa?
Anayo siku ya mapumziko inaitwa Karume dayKarume naye alikufa akiwa Rais