Kwamba hata katika dunia ya ‘waliostaarabika’ unaweza kushindwa uchaguzi ila bado ukakomaa na kutafuta kila namna ya kuendelea kubaki Ikulu
Trump hana evidence ya maana. Kapigwa popular votes na zile za majimbo/electoral votes. Hizo kesi zake ataaibikia kwa mara nyingine tena