Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,368
kashinikizwa na ccm au naanii?
Huo uongozi wa chuo si ndo ccm yenyewe? Kama siasa hairuhusiwi chuoni ila kwa upande wa ccm ruksa unafikiria je hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashinikizwa na ccm au naanii?
UDOM wasipo mtimua yule shemeji yake JK PROF Mlacha ambae ni Finance and Admin manager..chuo kitakufa kale kajibwa kajeuriiiii mwanafunzi ukimfata anakwambia kwamba "wewe umenizidi mimi urefu na umasikini tu" af anakutimua nakachukiaje!
Mhhh, huyu jamaa hapendwi sana au mnamfanyia majungu......
Kick prof. Shaban Mlacha out of UDOM(Mlacha afukuzwe UDOM) | Facebook
Hahahaaa, hii nimeipenda sana.
Ina maana jamaa ni Mbilikimo wa kiania hivi.....
Eti umenizidi UMASIKINI na urefu tu. Ngoja 2015 Kikwete aondoke, kitatuzidi na KUFUNGWA.
![]()
Unajua kufikiri wewe. Big up!!! Halafu wakiambiwa hawawezi wanalalamika.
Huu ndio mzoga kabisa. Halafu nasikia Walimu wengi wa UDOM wanatoka hapa, kazi kwelihahahahha wagala wanataka kushika wao sehemu zote, UDSM Inawashinda kila siku inaporomoka,sitaji vyuo vingine.Big up MUM mnatisha.
daah, kweli UOZO wa udom unaanza kujionyesha hapahapa kwa huyu "finalist" ambaye anatarajia kwenda kwenye soko la ajira!. udom binafsi naona wana MAJENGO tu yale usiku yanaonekana kama meli baharini!. products za udom SIZIKUBALI hata kidogo.UYU = HUYU (Finalist wa UDOM?)
Pole sana!hivi unajua maneno yenu ndo yanawafanya wanafunzi wa udom wakomae kusoma kwa bidii ili kusafisha jina la chuo chao!!Elimu ya pale imesaidia wengi kutoka kimaisha iwe ni kuajiriwa au kujiajiri!sio busara msomi kumdharau msomi mwenzake!daah, kweli UOZO wa udom unaanza kujionyesha hapahapa kwa huyu "finalist" ambaye anatarajia kwenda kwenye soko la ajira!. udom binafsi naona wana MAJENGO tu yale usiku yanaonekana kama meli baharini!. products za udom SIZIKUBALI hata kidogo.