TANZIA Mwanasheria Mkuu wa Kwanza Mzalendo na Jaji Mstaafu Mark Bomani afariki dunia

Thanks bro. Namkumbuka kutoka siku za East Africa FM.

Mshua siku moja alirudi home, alisema ametoka kukaa kikao na Jaji Bomani na Jaji Nyalali, aliwasifia sana kwa uwezo wao.

Tumepoteza mzee wa muhimu sana katika taifa.

Alikua nguli. Lakini naamini hata Mzee wako ni wa kaliba hiyo hiyo. Chembe chembe zinajidhihirisha kwako.
 
John Rupia pia,msukuma na mtanzania wa kwanza Tajiri alietoa pesa zake kumsaidia Julius aende Ulaya kuomba uhuru.
Umenikumbusha huyu mzee..

Watoto wake wawili wa kiume Paul na Stephen Rupia ilhali ni watu wazima kwa sasa wamefanikiwa kukeep low Profile maisha yao yote japokiwa wana maisha mazuri siku zote..
 
Umenikumbusha huyu mzee..

Watoto wake wawili wa kiume Paul na Stephen Rupia ilhali ni watu wazima kwa sasa wamefanikiwa kukeep low Profile maisha yao yote japokiwa wana maisha mazuri siku zote..
Kabisa. Huwezi jua wanamiliki majengo pale mjini kati na Upanga. Hata mwanae wa kike bibi Rhoda (Marehemu)alikuwa low profile sana.
 
Kabisa. Huwezi jua wanamiliki majengo pale mjini kati na Upanga. Hata mwanae wa kike bibi Rhoda (Marehemu)alikuwa low profile sana.
Yaani hawa wasukuma walistaarabika mapema mno;
Pesa ipo halafu hawana majivuno kabisa.

Huko Masaki,Oysterbay,Mikocheni kote ni mansion za maana ila hawana kelele..

Astarehe kwa Amani Bi Rhoda pamoja na Kaka yao mkubwa Albano Rupia hawa walikuwa watu haswa...
 
Jaji Bomani, Mkapa, mramba, Kigoda, Chenge. Wote hawa walisababisha serikali hasara ya mabillions tokana na mrahaba wa madini 3%. Leo hii Tanzania uchumi wake ungekuwa juu sana, tokana na tamaa zao za mali Kama alivyosema JPM kwamba hawakufanya hivyo bila kupata % ambayo iliingizwa kwenye maakaunti yao uko nje, wakati huo watanzania wanakuwa fukala, madini yanapelekwa nje Tena kwa escort ya ulinzi mkali. Kati ya hao aliye hai ni Chenge tu wengine wameshatangulia mbele ya haki. Uko waliko wanaona makosa waliyofanya kwa watanzania au binadamu wenzao. Lakini binadamu hajifunzi makosa ya watangulizi wao leo hii unaona watu wanafanya mambo ya ovyo kwa ajili ya familia zao. Hawajui hao waliotangulia walikuwa Kama wao. Tenda mema kwa binadamu mwenzako maana hujui siku Wala saa. Mali na utajili hutakwenda navyo mwishoni utawekewa nondo na zege hili usitoke humo na Wala harufu yako wasisikiye wanaopumua bado uko duniani. Baada ya miaka 20-50 hilo sanduku la mbao linaanza kuliwa na mchwa wakati wewe uko ndani kimeshabakia fuvu lako vingine vimeshaoza na kupukutika na kuwa unga. Tutende mema kwa Wana dunia.
 
MToronto
Kabisa. Huwezi jua wanamiliki majengo pale mjini kati na Upanga. Hata mwanae wa kike bibi Rhoda (Marehemu)alikuwa low profile sana.
Wake yule clement bomani rafiki yangu sana miaka nenda rudi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…