Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Hilo mkaliangalie!Halafu akishaondolewa kitafuata nini!!!???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo mkaliangalie!Halafu akishaondolewa kitafuata nini!!!???
Wa kwetu atazungumzwaje?KUNA tetesi AG Feleshi anatengenezewa mazingira kwamba hakushauri vizuri suala la mkataba kwa hiyo kuna kampeni za chini kwa chini za kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.
Swali Je aliyesaini mkataba huo kwa jina lake na cheo chake mbona hazungumziwi? ambaye ni Mbarawa?
KUNA tetesi AG Feleshi anatengenezewa mazingira kwamba hakushauri vizuri suala la mkataba kwa hiyo kuna kampeni za chini kwa chini za kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.
Swali Je aliyesaini mkataba huo kwa jina lake na cheo chake mbona hazungumziwi? ambaye ni Mbarawa?
Aisee ebu Acha hizi dramas basi, MTU anahukumiwa kutokana na makosa yake na sio dini yake..Wazanzibar ni wapumbavu AG ni mkristo kwahio ni kafara kama ya Lowasa kwenye Richmond scandal
Afanye kama alivyofanya mwanasheria wa Zanzibar. Atangaze kujiuzulu kabla hajafukuzwa. Kwenye press ya kujiuzulu aseme wazi wazi kilicho transpire hadi mkataba ukasainiwa.KUNA tetesi AG Feleshi anatengenezewa mazingira kwamba hakushauri vizuri suala la mkataba kwa hiyo kuna kampeni za chini kwa chini za kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.
Swali Je aliyesaini mkataba huo kwa jina lake na cheo chake mbona hazungumziwi? ambaye ni Mbarawa?
... kwa hiyo wameshakubali kwamba mkataba ni mbovu hadi AG aondolewe?KUNA tetesi AG Feleshi anatengenezewa mazingira kwamba hakushauri vizuri suala la mkataba kwa hiyo kuna kampeni za chini kwa chini za kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.
Swali Je aliyesaini mkataba huo kwa jina lake na cheo chake mbona hazungumziwi? ambaye ni Mbarawa?
Ni sawa tu,acha waliolikoroga walinywee na kulimeza,ipo harufu ya kutengenezea na mazengwe kwa maslahi ya kisiasa ya pande tofauti,ukizingatia chaguzi/chafuzi haziko mbali🤸🤸🤸🤸.KUNA tetesi AG Feleshi anatengenezewa mazingira kwamba hakushauri vizuri suala la mkataba kwa hiyo kuna kampeni za chini kwa chini za kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.
Swali Je aliyesaini mkataba huo kwa jina lake na cheo chake mbona hazungumziwi? ambaye ni Mbarawa?