Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mpaka sasa watu wanaoaminika kwa hoja na weledi ndani ya Chama cha Mapinduzi Ndugu Comrade Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama Taifa na Ndugu Ali Happy ambaye mpaka sasa sijui cheo chake wamejitokeza kujaribu kujibu Hoja za Tundu Lissu.
Wakati wa wiki mbili zilizopita Mh Wakili Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Taifa Chadema alimwaga sumu ktk Mikoa takribani sita, sumu hiyo isiyoua bali inayolenga kuwapa Mwangaza Watanzania wote kuhusu Mstakabali wa Nchi yao na uongozi.
Hata hivyo inaonekana Damage aliyosababisha Tundu Lissu kwa chama Tawala is beyong Repair.
Baada ya Magwiji hao wa kisiasa Kinana na Ali Hapi kujitokeza kujibu na kufafanua wamejikuta wanajichanganya tu wao wenyewe na kuwachanganya wasikilizaji wao.
Mkanganyiko huo si vema tukauruhusu kuendelea maana unawaweka Wananchi Njia Panda au waendelee kuamini yale waliyofundishwa na Mh Tundu Lissu.
Niumbe kwa Heshima na Tadhima watu wenye ueledi kwa level sawa na ya Lissu wajitokeze ktk sehemu ya kuitumikia Taifa wafafanue na kunyoosha mabonde mabonde yaliyoachwa.
Mh Mwanasheria Mkuu na Jaji Mkuu ni watu tunaoamini wana weza kazi hii kwa kiwango kikubwa na kufuta sintofahamu inayoendelea.
Waheshimiwa wasomi jitokezeni muokoa Jahazi.
Nawatakia kazi njema watumishi woote Nchini, tukutane 2025.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Wakati wa wiki mbili zilizopita Mh Wakili Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Taifa Chadema alimwaga sumu ktk Mikoa takribani sita, sumu hiyo isiyoua bali inayolenga kuwapa Mwangaza Watanzania wote kuhusu Mstakabali wa Nchi yao na uongozi.
Hata hivyo inaonekana Damage aliyosababisha Tundu Lissu kwa chama Tawala is beyong Repair.
Baada ya Magwiji hao wa kisiasa Kinana na Ali Hapi kujitokeza kujibu na kufafanua wamejikuta wanajichanganya tu wao wenyewe na kuwachanganya wasikilizaji wao.
Mkanganyiko huo si vema tukauruhusu kuendelea maana unawaweka Wananchi Njia Panda au waendelee kuamini yale waliyofundishwa na Mh Tundu Lissu.
Niumbe kwa Heshima na Tadhima watu wenye ueledi kwa level sawa na ya Lissu wajitokeze ktk sehemu ya kuitumikia Taifa wafafanue na kunyoosha mabonde mabonde yaliyoachwa.
Mh Mwanasheria Mkuu na Jaji Mkuu ni watu tunaoamini wana weza kazi hii kwa kiwango kikubwa na kufuta sintofahamu inayoendelea.
Waheshimiwa wasomi jitokezeni muokoa Jahazi.
Nawatakia kazi njema watumishi woote Nchini, tukutane 2025.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?