Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya Charles Njonjo leo atimiza umri wa miaka 101
Sir Charles Mugane Njonjo alizaliwa Januari 23 1920 na alihudumu akiwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya kuanzia 1963 hadi 1979
Amewahi pia hudumu KK wenye nafasi ta Waziri wa Katiba kuanzia mwaka 1980 - 1983
Mwanasiasa huyo maarufu alijulikana pia kwa jina la "The Duke of Kabeteshire"
Charles Njonjo na kakaye James wanakadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 3 za Kimarekani
Happy birthday Sir Charli Njonjo
Sir Charles Mugane Njonjo alizaliwa Januari 23 1920 na alihudumu akiwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya kuanzia 1963 hadi 1979
Amewahi pia hudumu KK wenye nafasi ta Waziri wa Katiba kuanzia mwaka 1980 - 1983
Mwanasiasa huyo maarufu alijulikana pia kwa jina la "The Duke of Kabeteshire"
Charles Njonjo na kakaye James wanakadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 3 za Kimarekani
Happy birthday Sir Charli Njonjo