Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya Charles Njonjo leo atimiza umri wa miaka 101

Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya Charles Njonjo leo atimiza umri wa miaka 101

Naona watanzania wanatokwa na povu sana. Anyway huyu jamaa alikuwa one of the first black people to study Law in London and became a practising barrister in the UK admited to the bar in London miaka ya zamani sana hata kabla ya Kenya kupata Uhuru. Ni mtu amesoma sana akawa one of the first lawyers in kenya aliporudi kutoka UK. Alikuwa anapenda kuvaa suti nyeusi yenye mistari nyeupe aliyoagiza kutoka Uingereza. Suti zake zote ziliagizwa kutoka Uingereza. Hata mke alioa mzungu. One of the most brain-washed people around. Halafu jambo lingine ni kuwa alikuwa bachelor kwa miaka nyingi na alioa akiwa mzee. Nadhani alioa akiwa na miaka 40 au 50. Halafu akazaa mtoto mmoja tu wa kike na kufunga hio chapter ya kuzaa. Mtoto mwenyewe mama yake alikuwa ni mzungu. Msichana mwenyewe naye akaowa mvulana mzungu. Hawa ndio wale Aristocrats wa Kenya. Yaani top cream of the society. Sijashangaa kwamba amefika miaka 101 maana pesa ipo hata ya kwenda mwezini au Jupiter kupata matibabu na kurudi. Lakini sisi wengine wa tabaka la chini au wastani hata kufikisha miaka 70 ni mtihani haswa magonjwa kama TB na marasmus yakitupumulia shingoni, kufikisha miaka hizo itakuwa mtihani sana.

ichoboy01 Naton Jr The best Geza Ulole
Nilisoma biography yake pale google, alioa ana miaka 52 kwa kulazimishwa na marehemu kenyetta jomo, kwa kumwambia cheo chake AG hakustahili kuwa bachelor. Aliipenda sana Kazi yake akadhani kuoa kungempunguzia ufanisi. Amezaa na yule mzungu watoto watatu. Hali red meat, anaendesha baiskeli km 12 hadi Leo kujiweka fit. Anakunywa via mbili kwa siku maisha yake yote. Ni vegetarian mzuri na nyama choma usimwambie. Anapenda na kulinda maisha yake hadi Leo. Akiwa mtoto alikuwa anaenda shuleni anaendesha farasi imagine colonial times. Baba alimlea maisha ya kizungu. Hata wapigania Uhuru Wa Kenya hakupenda wasamehewe makosa ya uhaini. East Africa ilipovunjika alisherehekea na kutamka it was his happiest day in his life. Hiyo ndio Njonjo mkenya alieishi na kuzaliwa Africa lakini maisha ya kiafrica hayajui tangu azaliwe. Alifall from grace na Moi pale alipohusishwa na jaribio LA mapinduzi LA kumtoa Moi 1982. Kwa ujanja Wa kupenda na kuthamini uhai wake hajawahi gombea wala kuwa kwenye circles za public service .Anakula Mali take aliyochuma kabla ya tukio lile. Anasadikiwa kuwa na utajiri Wa dola Milioni 10 za Marekani na vitega uchumi kadhaa. Moi alimsanehe kwa kuwa alinsaidia 1978 kumrithi kenytta wakati wakikuyu walipotaka kuziba nafasi ya Moi kuchukua nchi. He was very powerful by then alisimmama kidedea na kuhakikisha Moi makamu anamrithi Kenyatta , akazuia wakikuy kucheza na katiba. liichukia EAC kwa sababu alikuwa amenunua ndege aanzishe shirika lake E.A.A ikamwekea kauzibe. Hiyo ndjyo a
k.a prince of kabeteshire. Kabete itakuwa ni Mtaa Wa washua huko Nairobi na yawrzekana anaishi huko.


Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya Charles Njonjo leo atimiza umri wa miaka 101

Sir Charles Mugane Njonjo alizaliwa Januari 23 1920 na alihudumu akiwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya kuanzia 1963 hadi 1979

Amewahi pia hudumu KK wenye nafasi ta Waziri wa Katiba kuanzia mwaka 1980 - 1983

Mwanasiasa huyo maarufu alijulikana pia kwa jina la "The Duke of Kabeteshire"

Charles Njonjo na kakaye James wanakadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 3 za Kimarekani

Happy birthday Sir Charli Njonjo
Hizo billion 3 uliwapa wewe? 🚮🚮🚮
 
Nilisoma biography yake pale google, alioa ana miaka 52 kwa kulazimishwa na marehemu kenyetta jomo, kwa kumwambia cheo chake AG hakustahili kuwa bachelor. Aliipenda sana Kazi yake akadhani kuoa kungempunguzia ufanisi. Amezaa na yule mzungu watoto watatu. Hali red meat, anaendesha baiskeli km 12 hadi Leo kujiweka fit. Anakunywa via mbili kwa siku maisha yake yote. Ni vegetarian mzuri na nyama choma usimwambie. Anapenda na kulinda maisha yake hadi Leo. Akiwa mtoto alikuwa anaenda shuleni anaendesha farasi imagine colonial times. Baba alimlea maisha ya kizungu. Hata wapigania Uhuru Wa Kenya hakupenda wasamehewe makosa ya uhaini. East Africa ilipovunjika alisherehekea na kutamka it was his happiest day in his life. Hiyo ndio Njonjo mkenya alieishi na kuzaliwa Africa lakini maisha ya kiafrica hayajui tangu azaliwe. Alifall from grace na Moi pale alipohusishwa na jaribio LA mapinduzi LA kumtoa Moi 1982. Kwa ujanja Wa kupenda na kuthamini uhai wake hajawahi gombea wala kuwa kwenye circles za public service .Anakula Mali take aliyochuma kabla ya tukio lile. Anasadikiwa kuwa na utajiri Wa dola Milioni 10 za Marekani na vitega uchumi kadhaa. Moi alimsanehe kwa kuwa alinsaidia 1978 kumrithi kenytta wakati wakikuyu walipotaka kuziba nafasi ya Moi kuchukua nchi. He was very powerful by then alisimmama kidedea na kuhakikisha Moi makamu anamrithi Kenyatta , akazuia wakikuy kucheza na katiba. liichukia EAC kwa sababu alikuwa amenunua ndege aanzishe shirika lake E.A.A ikamwekea kauzibe. Hiyo ndjyo a
k.a prince of kabeteshire. Kabete itakuwa ni Mtaa Wa washua huko Nairobi na yawrzekana anaishi huko.


Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Duh! Wewe ni Mkenya au Mtanzania? Unamfahamu huyu jamaa sana hata kushinda Wakenya wenyewe. Naona unapenda kusoma historia na biography za watu mashuhuri. Hata mimi nipo hivyo.
 
broo,, hakuiba. aliwaona mumekaa kama aina flani ya misukule hivi, musiojielewa wala kujitambua na kwamba itawachukua muda mrefu sana kuwa na akili. aliitendea Kenya haki kabisa la sivyo Kenya haingekua na tofauti yoyote na majirani zake wasojielewa.
mwamba ni bonge la genius!
Sikushangai, Kenya mwizi huwa anaitwa ni genius. Huyu swindler akiitwa genius, akina Einstein na Tesla wataitwa ni watu gani?
 
Duh! Wewe ni Mkenya au Mtanzania? Unamfahamu huyu jamaa sana hata kushinda Wakenya wenyewe. Naona unapenda kusoma historia na biography za watu mashuhuri. Hata mimi nipo hivyo.
Mimi ni mTz ila ndio hobby, ni kama na addiction Fulani , Kenya kuna viongozi kama kibaki ,kairuki , ouko, ngugi Wa thing'o, john Marie Seroney , Shikuku Raila Dedan kimathi, nk . hao ndio walioishepu Kenya hadi kuwa hapo mlipo. Pamoja na ukabila wenu you have the best constitution in EA. Mengine tunaongea porojo tu humu.
 
Back
Top Bottom