REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Naomba kujua hivi sheria inasemaje pale mtu anakuletea mkataba ambao anasema umeusign wewe ukiangalia mwandiko na sign vinafanana kabisa na wako pia kaattach na copy za ID original zako akidai wewe ndie ulisign lakini kiuhalisia ukusign wewe ni uhuni umefanyika tu kufanya uonekane ni wewe
Je ushahidi upi unaitajika kuomba ili kuthibitisha ni Mimi kweli nilisign si kama amefodge
Je ushahidi upi unaitajika kuomba ili kuthibitisha ni Mimi kweli nilisign si kama amefodge