Mwanasheria wa kimataifa wa Lissu, Robert Amsterdam, asema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la Lissu kushambuliwa na watatoa taarifa ya uchunguzi huo

Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti sn
CCM endeleeni tu kujitoa ufahamu humu. Huu ndo ushahidi ambao wenzenu wanaukusanya. Yani mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe.

Nyie mnadhani Kwa nini Ruge alisema anamuongopa Mungu na teknolojia????

Nashangaa sana ninapoona makada wa CCM mkijiachia humu na waneno yenu ya kujitia tunduni dhidi ya Lissu.

Watu wanawakusanyia ushahidi.
 
Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti
Acha chuki binafsi mkuu. Kosa la Lisu ni lipi hata akastahili kudhambuliwa? Au unafuata mkumbo? Hapa ni JF siyo Lumumba.
 
Tukio alilofanyiwa Tundu Lissu pamoja na mwitikio wa serikali ya awamu ya tano kwenye tukio hilo, linafunika mazuri yote yaliyofanywa na utawala huu, katika hili wahusika iwe wapo hai au wamekufa lazima wajulikane na washughulikiwe kikamilifu
 
Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti
Dogo punguza munkari, yapo mengi usiyoyajua,mabwana zako wanakutuma uje kuharisha hapa
 
Huyu Mzungu wa Lisu akitoa hiyo riport ya Shambulio. Namshauri aachie na Video nzima ya wasiojulikana. Pia tuwaone tangu wanapopokea maagizo toka kwa aliyewatuma.
 
Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti
We si vuvuzela tuu? Hao mabwana zako ndio wanahaha wanajua kuna kunyea debe kunakuja kama sio kesho basi keshokutwa.
 
Mimi naomba katika uchunguzi wao wasisahau kutujibu maswali mawili tu, mengine yatafuata,
1.Kwanini eneo la tukio haikukutwa damu ata kidogo na nguo alizoshika dereva zilikuwa zina kiwango kidogo cha damu kulinganisha na idadi ya risasi na maumivu yanayoelezwa?
2. Kwanini risasi zitokee kushoto alafu yeye aumie mguu wa kulia?
Nitaridhika iwapo walijibu hayo maswali kwa ufasaha kabisa
 
Maswali haya yanaonyesha ulivyo poyoyo kichwani mwako
 
Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti
Dogo umechanganyikiwa na mtachanganyikiwa Sana kabla october
 
Jinga we kwahiyo damu ilienda wapi?
Nchi imejaa mazwazwa
 
Zile SILAHA ZA KIVITA zinamilikiwa na mamlaka gani hapa nchini? Halafu Serikali hii inayopenda sifa isimchukulie hatua yeyote ile hadi sasa? Wewe UVCCM hebu muwe mnaongea huo upuuzi na familia zenu huko.
Alitandikwa Kisawasawa na Vijana wa Kazi wa Mfalme Suleiman Kani aka Mbw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…