๐ ๐ ๐Wakinga wengi wana akili japo ni washirikina, kwanini yeye hana akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐Wakinga wengi wana akili japo ni washirikina, kwanini yeye hana akili?
ANAJIDHALILISHA MWENYEWE,USIWALAUMU CCM,YAANI HOJA ANAZOONGEA NI UJINGA MTU,SIJUI HATA THEOLOGIAI ALIJIFUNZA NINIView attachment 3061071
CCM wabaya sana wameamua kumdhalilisha mch Msigwa mchana kweupeee.
Hatari sn๐ ๐ ๐
Hata Theolojia kasoma basi? Huyo alikuwa houseboy kwa Kasisi mmoja wa kizungu ndiyo amejifunza misamiati michache tu ya Theolojia ndiyo chanzo kujiita mchungaji.ANAJIDHALILISHA MWENYEWE,USIWALAUMU CCM,YAANI HOJA ANAZOONGEA NI UJINGA MTU,SIJUI HATA THEOLOGIAI ALIJIFUNZA NINI
Msigwa ni njaa tu ndiyo inamsumbuaMwanasiasa yoyote aliyejenga jina lake Kisiasa akiwa Chama cha upinzani hawezi kung'aa akihamia CCM.
Mifano ni mingi akina Julius Mtatiro, Nassari, Lijualikali.
Ndio Sababu unawaona akina Dr Slaa, Zitto Kabwe,James Mbatia, Lwakatare nk wameamua kubakia Upinzani japo kwa namna moja au nyingine wananufaika na Siasa za CCM.
Mchungaji Msigwa anatamani kumantain umaarufu wake wa CHADEMA akiwa CCM hilo haiwezekani.
Hata Tundu Lisu akija CCM hatakuwa maarufu tena ataonekana kamaMwanasiasa wa kawaida tu.
Nawatakia Dominica Njema ๐
Soma pia: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Mixer ya Mkinga na Mbena.Maswetule ndio nini mkuu,
Ndio nasikia Leo nijuze tafadhali
Tumbili Msigwa anahangaika kama kuku anayetaka kutaga.Msigwa ni njaa tu ndiyo inamsumbua
I KNOW THE GUY SINCE THEN WHEN HE USED TO SELL USED SHOES,MITUMBA IRINGA AND MBEYA THEN HE DISAPPEAREDHata Theolojia kasoma basi? Huyo alikuwa houseboy kwa Kasisi mmoja wa kizungu ndiyo amejifunza misamiati michache tu ya Theolojia ndiyo chanzo kujiita mchungaji.
Huyu hapa enzi anauza mitumba aliyopewa na huyo Kasisi wa kizungu awagawie bure watu wasiokuwa na uwezo yeye ndiyo akaingia sokoni. Kaanza ufisadi kitambo.I KNOW THE GUY SINCE THEN WHEN HE USED TO SELL USED SHOES,MITUMBA IRINGA AND MBEYA THEN HE DISAPPEARED
Kumbuka kama siyo huyo unaemsema amefanya chama mali yake binafsi ndiye aliyemtambulisha MSALITI Peter Simon msigwa kwenye uga wa siasa.Sasa kwani huko upinzani alikojibrand kuna nini cha maana? Hiyo chadema yenyewe si amebaki mtu mmoja tu anayeendesha chama kama kampuni yake binafsi na wafuasi wake ambao ni nyumbu hawana hata uwezo wa kumhoji kitu chochote? Kwa mwanasiasa anayejitambua kuendelea kubaki chadema ni kukidharirisha!
Ni kama toilet paper ikifunduliwa kwenye kasha ni nyeupe sana ila ikishapelekwa ilikokusudiwa hata mwenye duka ataikataaMwanasiasa yoyote aliyejenga jina lake Kisiasa akiwa Chama cha upinzani hawezi kung'aa akihamia CCM.
Mifano ni mingi akina Julius Mtatiro, Nassari, Lijualikali.
Ndio Sababu unawaona akina Dr Slaa, Zitto Kabwe,James Mbatia, Lwakatare nk wameamua kubakia Upinzani japo kwa namna moja au nyingine wananufaika na Siasa za CCM.
Mchungaji Msigwa anatamani kumantain umaarufu wake wa CHADEMA akiwa CCM hilo haiwezekani.
Hata Tundu Lisu akija CCM hatakuwa maarufu tena ataonekana kamaMwanasiasa wa kawaida tu.
Nawatakia Dominica Njema ๐
Soma pia: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Hapo ndipo kashiwa kabisa kisiasa na mvuto kwa wananchiTumbili Msigwa anahangaika kama kuku anayetaka kutaga.
Mzee Mgaya katika UBORA wake!John, John leo umekuwa Yohane mbatizaji.
ulonena halina ubishi.
huyu fisadi wa ngono ndo kwishney