Tetesi: Mwanasiasa huyu kupewa ubalozi baada ya kurudi katika chama chake

Tetesi: Mwanasiasa huyu kupewa ubalozi baada ya kurudi katika chama chake

Nyalandu binafsi sina tatizo naye ni kiongozi mzuri nilimpigia debe hata akiwa Chadema kuwa ndie afaa kugombea uraisi kupitia chama hicho ana uwezo liakili na kipesa na siasa safi aziweza wakaleta Lisu mimi binafsi nililalamika sana humu Jamii forums

Nyalandu ni binadamu ana mapungufu yake lakini aliwezesha watalii wengi sana wenye pesa kuja Tanzania kutalii toka marekani.Yeye ndie alifungua soko kubwa la watalii wa marekani wenye pesa kuja Tanzania

weakness anazo ndogo ndogo nadhani sasa atakuwa yuko mature kujirekebisha keshajua pia kuwa political carrier is a long term investment in character etc isiyotakiwa kuchezewa kwa short term benefit if you aim higher than where you are.Magufuli , Samia and Mpango Cases are best examples

Apewe cheo popote naamini kajifunza na kapata ukomavu
 
Kuita wanachama wengine wa Chadema ni nyumbu sababu tu ni loyal to their beliefs ni kama unatukana watu hivi,which ni vizuri ukasema kabisa ni open season ya matusi ili tutukanane weeee turidhike then kila mtu akalale
Kusema ukweli mi nadhani kuna wanaChadema safi (tena wanachama wa kawaida) na wenye dhamira safi kuhusu nchi yetu. Ila mi naamini wanachadema hao wanaangushwa na uongozi wao wa juu chini ya Mbowe. Ukiangalia jinsi CCM wanavyoendesha chama chao, na Mbowe anavyoongoza chama chake utaelewa kwa nini Mbowe must go kama kweli Chadema inataka kuwa relevant katika siasa za nchi hii. Yule mzee hana maono wala ubunifu wa kuongoza chama cha siasa size ya Chadema. Kwa ukubwa Chadema iliokuwa imekwishafikia hadi 2015 kuna mambo yalihitaji chama kiongozwe kwa misingi na kanuni na si kutegemea influence ya mtu mmoja (Mbowe). Kwa bahati mbaya the man haoni kwamba kuna mtu mwingine ana sifa za kuiongoza Chadema zaidi yake, na nyie wanachadema kuna wakati inabidi mfike mstuke. Kama hata kustuka hamtaki, au kama mnaridhishwa na uongozi wa Mbowe, mtazidi kuitwa nyumbu na hamtakuwa na sababu ya kujitetea.
 
sio dhambi mkuu, naye ni Mtanzania....amesoma anauzoefu wa kufanya kazi serikalini nk...

Tatizo la msingi kwenye nchi hii lipo kwenye msingi kabisa wa maisha ya watu, kuanzia wanapozaliwa, wanaposoma, wanapokua na kuannza shule....hapo ndio kwenye shida ya maisha ya mtanzania.. kama tunaweza kupambana na CCM wakaweka sawa hapo basi tunaweza kutengeza kizazi bora kinachoweza kuleta mageuzi kila mahala...

Kwa sasa nchi ina shida kuanzia CCM, CDM, ACT mpaka TLP kwa Mrema except Chauma kwa Mzee Rungwe... tutaumiza vichwa sana. Aliyeshika remote ya politics za Tanzania anajua namna ya kuicheza hii game kuanzia upinzani mpaka chama tawala.....kifupi hii ngoma tutaicheza sana na usipokuwa makini unaweza kukuta uko CDM lakini ukawa unatumika bila kujua...
 
Ipo siku tutajua ukweli na nani anasema ukweli...

Na hii thread itakuwa uthibitisho kuwa bwana wa twitter anajua mengi kuliko watanzania
 
Back
Top Bottom