Mwanasiasa Machachari apata kipigo kikali

Mwanasiasa Machachari apata kipigo kikali

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Katika nchi ya Guyana Mwanasiasa machachari apata kipigo cha Paka Mwizi.

Nasisitiza kipigo hiki kimetokea katika magareza ya Nchi ya Guyana 🇬🇾 na bendera nimeweka kabisa.

Mwanasiasa huyo machachari kashindwa mara mbili kuripoti katika Hospital ya taifa kwaajili ya kufanya usafi kama sehemu ya adhabu yake.

Mwanasiasa huyo alikumbana na kipigo hicho kitakatifu kutoka kwa wafungwa wenzake.Uti wa mgongo,Mbavu na kichwa ni baadhi ya sehemu zilizopata madhara na kusababisha maumivu makali.
 
Mwanasiasa alitaka kupeleka ubayasa mpaka gerezani?[emoji23]

Kule wanaishi kwa u-seniority bwashee, heshima mwanzo mwisho.
 
Wakimtenganisha kichwa na kiwiliwili watakua wametusaidia sana. JAMBAKA anastahili kuzikwa akiwa hai.
 
Duh,tatizo jela unaweza ukaambiwa na bwana mdg mzee beba ndoo
Au fagia pale ukiibisha unakutana na manunda wanakupa kipigo
Sasa ole wako ukutane na wale uliyowanyanyasa kitaani huko

Ova
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika nchi ya Guyana Mwanasiasa machachari apata kipigo cha Paka Mwizi.

Nasisitiza kipigo hiki kimetokea katika magareza ya Nchi ya Guyana 🇬🇾 na bendera nimeweka kabisa.

Mwanasiasa huyo machachari kashindwa mara mbili kuripoti katika Hospital ya taifa kwaajili ya kufanya usafi kama sehemu ya adhabu yake.

Mwanasiasa huyo alikumbana na kipigo hicho kitakatifu kutoka kwa wafungwa wenzake.Uti wa mgongo,Mbavu na kichwa ni baadhi ya sehemu zilizopata madhara na kusababisha maumivu makali.
Umekunywa mbege ipi? Ile inayolewesha au?
 
Back
Top Bottom